NBS na takwimu za utalii nchini

NBS na takwimu za utalii nchini

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Aprili 19 Ofisi ya Takwimu (NBS) walitoa data za kuonesha uingiaji watalii nchini ambayo kwa takwimu zilizopo ukilinganisha na mwaka 2021 utalii umeongezeka. Naweka Jedwali kwa mujibu wa press yao.
1653555605079.png

Maoni yangu:
Inawezekana kuwa hii ni namna ya kuisifu royal tour, na mimi kama mtafiti nasema data za kutoa inabidi ziende hadi miaka mingine kabla ya COVID19 ili kuweza kuona percentage increase ya kila mwaka.

Tunapotumia mwaka 2021 kama bench mark, kunakuwa na shida kwa kuwa dunia ilikuwa katika lockdown na wameanza kuondoka kwenye lockdown hivi karibuni.

Ni muhimu NBS watoe data za miaka mingi iliyopita ili tuwe katika namna nzuri ya kuanalyse hizi data pamoja ili kuevaluate royo tuor.

Nawasilisha.

Mkoba Mfuko
 
Aprili 19 Ofisi ya Takwimu (NBS) walitoa data za kuonesha uingiaji watalii nchini ambayo kwa takwimu zilizopo ukilinganisha na mwaka 2021 utalii umeongezeka. Naweka Jedwali kwa mujibu wa press yao.
View attachment 2239166
Maoni yangu:
Inawezekana kuwa hii ni namna ya kuisifu royal tour, na mimi kama mtafiti nasema data za kutoa inabidi ziende hadi miaka mingine kabla ya COVID19 ili kuweza kuona percentage increase ya kila mwaka.

Tunapotumia mwaka 2021 kama bench mark, kunakuwa na shida kwa kuwa dunia ilikuwa katika lockdown na wameanza kuondoka kwenye lockdown hivi karibuni.

Ni muhimu NBS watoe data za miaka mingi iliyopita ili tuwe katika namna nzuri ya kuanalyse hizi data pamoja ili kuevaluate royo tuor.

Nawasilisha.

Mkoba Mfuko
Royal tour inajisifia yenyewe kwa Takwimu wala haihitaji kusifiwa..

Na ni Kazi yao ku evaluate impacts ya Royal tour.Na.bado mtanuna Sana.
 
Aprili 19 Ofisi ya Takwimu (NBS) walitoa data za kuonesha uingiaji watalii nchini ambayo kwa takwimu zilizopo ukilinganisha na mwaka 2021 utalii umeongezeka. Naweka Jedwali kwa mujibu wa press yao....
Upo sahihi walinganishe na 2018
 
Aprili 19 Ofisi ya Takwimu (NBS) walitoa data za kuonesha uingiaji watalii nchini ambayo kwa takwimu zilizopo ukilinganisha na mwaka 2021 utalii umeongezeka. Naweka Jedwali kwa mujibu wa press yao.
View attachment 2239166
Maoni yangu:
Inawezekana kuwa hii ni namna ya kuisifu royal tour, na mimi kama mtafiti nasema data za kutoa inabidi ziende hadi miaka mingine kabla ya COVID19 ili kuweza kuona percentage increase ya kila mwaka.

Tunapotumia mwaka 2021 kama bench mark, kunakuwa na shida kwa kuwa dunia ilikuwa katika lockdown na wameanza kuondoka kwenye lockdown hivi karibuni.

Ni muhimu NBS watoe data za miaka mingi iliyopita ili tuwe katika namna nzuri ya kuanalyse hizi data pamoja ili kuevaluate royo tuor.

Nawasilisha.

Mkoba Mfuko
Haya ni maagizo kutoka juu! Mkurugenzi Mkuu wa NBS mama Chua anafanya kazi kwa mkataba baada ya kustaafu hivyo hana namna bali kusifia kila kitu anachofanya Rais ili kulinda mkataba wake.

Kwa lugha nyingine ni rushwa/ufisadi wa kulipa fadhila!
 
Haya ni maagizo kutoka juu! Mkurugenzi Mkuu wa NBS mama Chua anafanya kazi kwa mkataba baada ya kustaafu hivyo hana namna bali kusifia kila kitu anachofanya Rais ili kilinda mkataba wake.

Kwa lugha nyingine ni rushwa/ufisadi wa kulipa fadhila!
Nchi imeharibiwa sn na CCM
 
Aprili 19 Ofisi ya Takwimu (NBS) walitoa data za kuonesha uingiaji watalii nchini ambayo kwa takwimu zilizopo ukilinganisha na mwaka 2021 utalii umeongezeka. Naweka Jedwali kwa mujibu wa press yao.
View attachment 2239166
Maoni yangu:
Inawezekana kuwa hii ni namna ya kuisifu royal tour, na mimi kama mtafiti nasema data za kutoa inabidi ziende hadi miaka mingine kabla ya COVID19 ili kuweza kuona percentage increase ya kila mwaka.

Tunapotumia mwaka 2021 kama bench mark, kunakuwa na shida kwa kuwa dunia ilikuwa katika lockdown na wameanza kuondoka kwenye lockdown hivi karibuni.

Ni muhimu NBS watoe data za miaka mingi iliyopita ili tuwe katika namna nzuri ya kuanalyse hizi data pamoja ili kuevaluate royo tuor.

Nawasilisha.

Mkoba Mfuko
Mbona hata za miaka ya nyuma zitakuwepo. Ni wewe ndio wa kuzichimbua na kuziunga ili kupata picha pana.
 
Kuna mchanganyiko wa hotel and international visitors exit surveys.
Au kaangalie Taarifa za Hali ya Uchumi Tanzania (The Economic Survey) Publications | MoF - Ministry of Finance and Planning
1. International visitor sio lazima awe mtalii, kuna watafiti etc
Nilidhani unajua takwimu za watalii zilipo lakini naona unashare links kwenye takwimu zisizohusika. Jua kwenye sites nyingi za serikali huwa natembela kuangalia takwimu tofauti tofauti. Hiyo ya wizara, niambie kitabu gani kina takwimu za watalii
 
1. International visitor sio lazima awe mtalii, kuna watafiti etc
Nilidhani unajua takwimu za watalii zilipo lakini naona unashare links kwenye takwimu zisizohusika. Jua kwenye sites nyingi za serikali huwa natembela kuangalia takwimu tofauti tofauti. Hiyo ya wizara, niambie kitabu gani kina takwimu za watalii
Naona sina namna zaidi ya kukusaidia kwani inaonekana hausomi vilivyomo ndani ya hizo taarifa!
 
Loyal tour sio Maarufu kama Tanzania, acheni ufala
Mwaka 2007 au 2008 nadhani- sikumbuki sawasawa, Bush alikuja Tanzania kutafuta kiwanja cha kujenga ofisi za jeshi la Marekani za Africa Command, ambazo nadhani hadi leo bado ziko ujerumani. Katika safari ile Bush alionyesha kuwa na good time sana Tanzania; kuna wamarekani wengi walioaifahamua Tanzania vizuri kutokana na safari hiyo ya bushi, na hivyo kuanza kuwa wanakuja wengi sana Tanzania. Sifa ya kuvuta watalii wa kimarekani imwendee Kikwete ingawa alimnyimba Bush kiwanja huko Kigamboni nadhani kutoikana na pressure ya AU.
 
Aprili 19 Ofisi ya Takwimu (NBS) walitoa data za kuonesha uingiaji watalii nchini ambayo kwa takwimu zilizopo ukilinganisha na mwaka 2021 utalii umeongezeka. Naweka Jedwali kwa mujibu wa press yao.
View attachment 2239166
Maoni yangu:
Inawezekana kuwa hii ni namna ya kuisifu royal tour, na mimi kama mtafiti nasema data za kutoa inabidi ziende hadi miaka mingine kabla ya COVID19 ili kuweza kuona percentage increase ya kila mwaka.

Tunapotumia mwaka 2021 kama bench mark, kunakuwa na shida kwa kuwa dunia ilikuwa katika lockdown na wameanza kuondoka kwenye lockdown hivi karibuni.

Ni muhimu NBS watoe data za miaka mingi iliyopita ili tuwe katika namna nzuri ya kuanalyse hizi data pamoja ili kuevaluate royo tuor.

Nawasilisha.

Mkoba Mfuko
Sasa umejitekenya ukacheka mwenyewe mkuu. Ni wapi wamesema kuwa ongezeko hilo ni matokeo ya royal tour?
 
Back
Top Bottom