Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Hapa naongelea kivutio cha NGorongoro
Naona kuna usumbufu usio wa lazima ambao unaweza kupatiwa ufumbuzi kama mamlaka wataamua kufuata ushauri wa wadau wanao waletea wageni
1. Mgeni akibadilisha tarehe ya kuingia Ngorongoro hata kwa siku moja, kwa sababu zozote zile
Haruhusiwi kuingia hadi atume email kwa mamlaka ndio abadilishiwe tarehe. Cha ajabu ni kuwa hakuna anayetuma akataliwe sasa, kwa nini system isiruhusu kubadili tarehe angalau kwa siku moja au mbili? Hii ni kero kwani ndege zinabadilika kila siku na unajua tena efficiency ya system zetu, hii inahitaji ujibiwe email kwa haraka sana ili upange safari; lakini je mabadiliko yakitokea usiku (ndege nyingi huja jioni/usiku), Jumapili, sikukuu? nk, Lakini pia, ni kwa nini waongeze kazi isiyokuwa na ulazima hasa kwa kipindi hiki? system inaweza kuwapa report ya changes zooote.
Nimeandika nikijua kuongezeka au kupungua kwa magari 12- 20hivi kwa siku hakuna impact kubwa
2. Permit hulipiwa kwa masaa 24, sasa Mfano, unakuta wageni wanaingia saa tatu, kesho yake wanatoka saa sita; Tatizo la system yao ni kuwa hairuhusu mtu alipie siku moja + Entry
Badala yake una ambiwa mwendesha wageni akisha ingia ndani ya hifadhi ndio uongeza day?
Yaani wanaongeza kazi zisizo kuwa na lazima kwa kitu cha kurekebisha tu kwenye system lndani ya muda mfupi!! si wanao ma IT tena wabobezi?
3. Pendekezo
Nafikiri kwa geti zao mbili ambazo ndio malango makuu; Loduare na Nabi
Wangefunga Camera kama zile za traffic kwa ajili ya kusign out permit (hakuna haja ya kupanga foleni gari likitoka park)
Kwa mtu ambaye permit yake iko poa, inapiga picha gari na ndio anakuwa amesha sign out anaondoka;
Kwa yule permit ina overstay inapiga alarm anaenda kulipia. Kwa namna hiyo msongamano kwa mageti ungepungua kwa kama 40%
Sasa hivi kila kitu manual; mtu wa getini au guide akijisahau, unashangaa baada ya siku kadhaa una ambiwa gari linachajiwa kila siku eti bado lipo ndani
Naona kuna usumbufu usio wa lazima ambao unaweza kupatiwa ufumbuzi kama mamlaka wataamua kufuata ushauri wa wadau wanao waletea wageni
1. Mgeni akibadilisha tarehe ya kuingia Ngorongoro hata kwa siku moja, kwa sababu zozote zile
Haruhusiwi kuingia hadi atume email kwa mamlaka ndio abadilishiwe tarehe. Cha ajabu ni kuwa hakuna anayetuma akataliwe sasa, kwa nini system isiruhusu kubadili tarehe angalau kwa siku moja au mbili? Hii ni kero kwani ndege zinabadilika kila siku na unajua tena efficiency ya system zetu, hii inahitaji ujibiwe email kwa haraka sana ili upange safari; lakini je mabadiliko yakitokea usiku (ndege nyingi huja jioni/usiku), Jumapili, sikukuu? nk, Lakini pia, ni kwa nini waongeze kazi isiyokuwa na ulazima hasa kwa kipindi hiki? system inaweza kuwapa report ya changes zooote.
Nimeandika nikijua kuongezeka au kupungua kwa magari 12- 20hivi kwa siku hakuna impact kubwa
2. Permit hulipiwa kwa masaa 24, sasa Mfano, unakuta wageni wanaingia saa tatu, kesho yake wanatoka saa sita; Tatizo la system yao ni kuwa hairuhusu mtu alipie siku moja + Entry
Badala yake una ambiwa mwendesha wageni akisha ingia ndani ya hifadhi ndio uongeza day?
Yaani wanaongeza kazi zisizo kuwa na lazima kwa kitu cha kurekebisha tu kwenye system lndani ya muda mfupi!! si wanao ma IT tena wabobezi?
3. Pendekezo
Nafikiri kwa geti zao mbili ambazo ndio malango makuu; Loduare na Nabi
Wangefunga Camera kama zile za traffic kwa ajili ya kusign out permit (hakuna haja ya kupanga foleni gari likitoka park)
Kwa mtu ambaye permit yake iko poa, inapiga picha gari na ndio anakuwa amesha sign out anaondoka;
Kwa yule permit ina overstay inapiga alarm anaenda kulipia. Kwa namna hiyo msongamano kwa mageti ungepungua kwa kama 40%
Sasa hivi kila kitu manual; mtu wa getini au guide akijisahau, unashangaa baada ya siku kadhaa una ambiwa gari linachajiwa kila siku eti bado lipo ndani