Kama ni kweli indeed it will be a come back of NCCR na ni heshima kubwa .I will salute you NCCR na tafadhali fanyeni kweli maana hili ndilo chaka la CCM kujibanza na kujifanya wanashinda kwa kishindo.
Naomba pia waombe matangazo ya Rais na kukimbilia kuapishwa kuwe baada ya mwezi toka Uchaguzi ili watu tujiridhishe .