NCCR Mageuzi
Member
- Oct 3, 2007
- 23
- 63
Hayawi hayawi, sasa yamekuwa, ni rasmi sasa chama cha NCCR-Mageuzi kimejipanga kufanya uzinduzi mkubwa wa kampeni zake za uchaguzi Septemba 05, 2020 kwenye viwanja vya Zhakeim, Mbagala Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Uenezi na Mahusiano ya Umma ndugu Edward Julius Simbeye amesema chama kimejipanga kufanya kampeni tofauti na zile wanazofanya vyama vingine vya siasa huku akiita ni uzinduzi wa kampeni ya Kisayansi ambayo itaenda kumnadi mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu Yeremia Kulwa Maganja pamoja na chama kwa ujumla.
Kwenye uzinduzi wa Kampeni pia chama kimepanga kuzidua rasmi Ilani ya chama.
Mkuu wa Kitengo cha Uenezi na Mahusiano ya Umma ndugu Edward Julius Simbeye amesema chama kimejipanga kufanya kampeni tofauti na zile wanazofanya vyama vingine vya siasa huku akiita ni uzinduzi wa kampeni ya Kisayansi ambayo itaenda kumnadi mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndugu Yeremia Kulwa Maganja pamoja na chama kwa ujumla.
Kwenye uzinduzi wa Kampeni pia chama kimepanga kuzidua rasmi Ilani ya chama.