citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Katiba yenu na matendo yenu ni nguzo na tegemeo jipya la MtanzaniaKuna serikali ya Afrika ambayo iko against Beberu?
Mkuu, Wapo, hawana mipaka wale, waliombea Corona lije ili liuwe wazee wote nchini Kwa kuwa wazee waipigia Kura CCM, sijui Wenzetu wazee wao walishatangulia Mbele za haki!!Kina nani hao Mkuu
[/QUOTE]Mkuu, Wapo, hawana mipaka wale, waliombea Corona lije ili liuwe wazee wote nchini Kwa kuwa wazee waipigia Kura CCM, sijui Wenzetu wazee wao walishatangulia Mbele za haki!!
Wanatukana mapatano ya Watanzania kuombea Corona!! Na kama laana IPO,basi inapaswa Itafune hicho kikundi chote kisambaratike tu!
Wazee watu Kwa nini wasitoe laana ikipate hicho kikindi!!!?
[/QUOTE][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni kile chama kilichomtosa Dr slaa?
Itakuwa wanaadhibiwa kwa dhambi ya kumsaliti dr slaa
Hamna kipya, kwani kwa kufungamana na vyama vile vingine walipata nini?!Hiki chama kitapoteza kura nyingi kwa kufungamana Na ccm
Katiba yenu na matendo yenu ni nguzo na tegemeo jipya la Mtanzania