NCCR Mageuzi
Member
- Oct 3, 2007
- 23
- 63
Leo Septemba 05, 2020 chama cha NCCR-Mageuzi imezindua Ilani ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani, halfa iliyofanyika kwenye uzinduzi wa Kampeni za chama. Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi ndugu Elizabeth Mhagama amesema Ilani iliyozinduliwa imepewa jina kuwa katiba ya "Muafaka wa Kitaifa"