Nadhani matokeo hayo wasilaumiwe NCCR wala CUF, hayo ndio matokeo ya demokrasia, Chadema kwa bahati mbaya haikujipanga vyema katika kulitetea jimbo hili ambalo kwa muda mrefu limekuwa strong hold ya Chadema. Migogoro ya ndani ya chama jimbo la Tarime ilipelekea Mwera kuondoka na ndipo tatizo lilipoanza, kimsingi Mwera hakuwa anazifahamu hata sera za CUF na alikuwa anajinadi kwenye kampeni zake kwa kutumia sera za Chadema, Tarime ni pigo kwa Chadema
Cha kushangaza, Mwela aligombea Ubunge na Udiwani, kapata udiwani...... sijui kama amewatendea haki chadema