correction;
[emoji117]ondoa Nigeri
[emoji117]ondoa Uganda
[emoji117]ondoa kenya
:- Then
[emoji117]weka Tz
[emoji117]weka Djbout
[emoji117] weka morocco
[emoji117]weka misri
Tembeeni muone acheni kudanganywa na hayo malist ya wapuuzi wachache...Tz ina waremboo bna, ni vile tu hatuna wasemaji na mastar wa uwakika(diaspora) huko nje wakuifanya nchi yetu ionekane kati ya wanao onekana, Tz ni kama kisiwa chenye utajiri wa kila kitu, lkn hakijulkani, yaan kuna giza tu, wanaishia kujulkana majiran,
kiukwel kwa East afrika Tz inaweza kuwa nchi ya kwanza kwa warembo, maana Tanzania imeconclude makabila mengi na kufanya machotara wa kila sampuli kuwepo tofaut n hizo nchi zngne zenye vujikabila vichache,
uku Tz utawakuta wenye asili za kibantu na mishepu ya hatari, pia wenye asili za machotara kiarabu&kihindi, so huwez fanisha Tz na vitu vyakipuuzi kama Nigeria walikojaa wanawake sampuli ya aina moja, ama wakikuyu wa uko kenya