The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Kwa mujibu wa economic intelligence Afrika Ina Hifadhi ya asilimia 30% ya Madini mbalimbali Duniani.
Kutokana hivyo ikabainisha Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Mauzo ya Madini mbalimbali kuanzia Mafuta,Dhahabu Hadi chumvi Kwa Wingi zaidi.
Hata kwenye Dhahabu ambako tuandhani tuna utajiri ,hakuna kitu.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1795926825182376143?t=ae6ktzHuRD01fwDY288QJg&s=19
My Take
Tanzania pamoja na kelele nyingi za Kisiasa ila hatuna Madini yeyote ya maana ambayo tunauza Kwa Wingi yaani ni kama tunabangaiza Kwa kugusa gusa Kila mahala 😁😁.
Nashauri Tanzania tujikite kwenye biashara za logistics na kuwa gateway to East and Central Africa,Utalii,Kilimo na Bidhaa za uvuvi ndio tuna comparative advantage 👇👇
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1795813548708249835?t=DHmVitDzDjyxwjxH2z7iUA&s=19
Kutokana hivyo ikabainisha Nchi 10 Zinazoongoza Kwa Mauzo ya Madini mbalimbali kuanzia Mafuta,Dhahabu Hadi chumvi Kwa Wingi zaidi.
Hata kwenye Dhahabu ambako tuandhani tuna utajiri ,hakuna kitu.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1795926825182376143?t=ae6ktzHuRD01fwDY288QJg&s=19
My Take
Tanzania pamoja na kelele nyingi za Kisiasa ila hatuna Madini yeyote ya maana ambayo tunauza Kwa Wingi yaani ni kama tunabangaiza Kwa kugusa gusa Kila mahala 😁😁.
Nashauri Tanzania tujikite kwenye biashara za logistics na kuwa gateway to East and Central Africa,Utalii,Kilimo na Bidhaa za uvuvi ndio tuna comparative advantage 👇👇
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1795813548708249835?t=DHmVitDzDjyxwjxH2z7iUA&s=19