Pamoja na US kuongoza kuwa na vifo na maambukizi mengi lkn cha ajabu,watu wameeandamana wiki tatu mfululizo bila barakoa wala social distance,juzi Trump kaanza kampeni zake kwenye ukumbi uliokuwa na watu zaidi ya 6200 ,watu hawa kuzingatia social distance na wala barakoa.
Hapo ndio utagundua maisha ya kila siku lazima ya endelee,US yenyewe mpaka sasa najiuliza LOCKDOWN IMEISHIA WAPI ? au wanaharakati wale wa kusisitiza lockdown nao wapo wapi? na yule balozi wa US TZ nae alimwandikia waraka Trump kufanya mkutano bila kuzingatia kanuni za kujilinda na barakoa?
MWISHO WA SIKU MAISHA LAZIMA YA ENDELEE HAIJALISHI INCHI NGAPI ZIMEKUMBWA NA CORONA.