Nchi 2 za NATO zatoa onyo kwa raia kuhusu mashambulizi ya nyuklia ya Urusi

Nchi 2 za NATO zatoa onyo kwa raia kuhusu mashambulizi ya nyuklia ya Urusi

Darkish

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
326
Reaction score
364
Kizazi cha karne ya 21 hakiamini kuwa vita ya dunia huanza kama mzaha.

Paneli ya kipindi cha Outnumbered wamejadili maendeleo ya kutisha baada ya vikosi vya Ukraine kushambulia Urusi kwa kutumia makombora ya masafa marefu kutoka Marekani. Pia, walijadili hatua ya Rais wa Urusi, Vladimir Putin, kupunguza kizingiti cha kuitikia mashambulizi kwa silaha za nyuklia.

Hii imeibua wasiwasi mkubwa kuhusu hatari inayoweza kuongezeka kutokana na mgogoro huu wa kivita.


View: https://www.youtube.com/watch?v=huaGLY11nYE
 
Unajua kwanini haiwezi kuwa rahisi ni kwasababu walishaona athari ya vita, tayari wamejifunza kwa vita zilizopita vita ni kujiletea mabalaa yote ambayo wewe unayajua!.

Hakuna taifa sasahivi litapenda kutokea vita ya dunia kwasababu mpk anakuja kupatikana huyo mshindi, alieshinda pia atakuwa hana kiungo chochote muhimu uchumi utayumba,miundombinu itavurugika we fikiria mji kama new York wameujenga kwa muda gani halafu uje ulete ufala tu hata kama utashinda unafikiri itakuja kukuchukua muda kiasi gani kuiweka sawa hiyo miji iwe kama ilivyokuwa!, Na kitu ambacho haujui marekani kamwe hataki na hapendi vita!.. kwasababu ktk calculation zake anajua hasara atakayoipata na lile taifa kamwe huwa halisimami upande wa kula hasara na vita ni hasara!.

Kiufupi mwehu yoyote atakaejifanya kuleta vita ya dunia ataona atakavyopopolewa hata na watu wa nchi yake mwenyewe!, watu wapo radhi wampopoe huyo mtu kuliko kujifanya mwamba halafu uje uturudishe kwenye zama za mawe kifalafala tu!.
 
Nashangaa kuwa watoto wa 2000+ hawaamini kuwa vita huwa vinaanza kimasihara lakini wanaamini kuwa unaweza tunda kimasihara Kwa kumpapasa demu mpaka akalainika kiasi cha kuchata mbususu.

Sijui wakoje.
Hata na mimi naungana na wewe mkuu..
Ni ukweli usiopingika ili umpate mshangazi huna budi kuepuka mambo matati
Moja- kumpa salamu ya Shikamoo
Mbili- kuuliza kama ana mtoto
Tatu- kuuliza kama kaolewa au laah
 
Hata na mimi naungana na wewe mkuu..
Ni ukweli usiopingika ili umpate mshangazi huna budi kuepuka mambo matati
Moja- kumpa salamu ya Shikamoo
Mbili- kuuliza kama ana mtoto
Tatu- kuuliza kama kaolewa au laah
Kabisa mkuu, binafsi siwezi kumwambia mshangazi shikamoo, mimi ni mwendo wa 'mabow!' hata kama kanizidi Karne.
 
Unajua kwanini haiwezi kuwa rahisi ni kwasababu walishaona athari ya vita, tayari wamejifunza kwa vita zilizopita vita ni kujiletea mabalaa yote ambayo wewe unayajua!.

Hakuna taifa sasahivi litapenda kutokea vita ya dunia kwasababu mpk anakuja kupatikana huyo mshindi, alieshinda pia atakuwa hana kiungo chochote muhimu uchumi utayumba,miundombinu itavurugika we fikiria mji kama new York wameujenga kwa muda gani halafu uje ulete ufala tu hata kama utashinda unafikiri itakuja kukuchukua muda kiasi gani kuiweka sawa hiyo miji iwe kama ilivyokuwa!, Na kitu ambacho haujui marekani kamwe hataki na hapendi vita!.. kwasababu ktk calculation zake anajua hasara atakayoipata na lile taifa kamwe huwa halisimami upande wa kula hasara na vita ni hasara!.

Kiufupi mwehu yoyote atakaejifanya kuleta vita ya dunia ataona atakavyopopolewa hata na watu wa nchi yake mwenyewe!, watu wapo radhi wampopoe huyo mtu kuliko kujifanya mwamba halafu uje uturudishe kwenye zama za mawe kifalafala tu!.
Kujenga ni fasta sana chief wala usifikirie hilo
 
Kabisa mkuu, binafsi siwezi kumwambia mshangazi shikamoo, mimi ni mwendo wa 'mabow!' hata kama kanizidi Karne.
Sasa nataka tuongee lugha moja kama hivi...
Sio unakaa unawaza vita 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu vipi lakini mashangazi si unapelekea moto
 
Kujenga ni fasta sana chief wala usifikirie hilo
Unafikra ndogo sana wewe!
hapa sizungumzii vita ya wewe na jirani yako!, hapa nazungumzia vita ya dunia ambayo ikitokea mapigano yake yatakuwa ni ya siraha za hali ya hatari ambazo hata baada ya vita kuisha binadamu atatakiwa ajisitiri maeneo maalum kwa muda mrefu maana kutakuwa na mionzi mikali ambayo itaathiri viumbe,mimea na hata mifumo ya dunia mfano mvua zinaweza kuwa za asidi!, na kama mataifa yote yenye nyuklia yataamua kuzitumia basi kuna uwezekano mkubwa wakuifanya dunia kutokuwa salama tena kwa muda mrefu!.

Na ukiharibu tabaka la ozone layer umehararisha mionzi inayochujwa kutoka huko anga za mbali kupenya kwa wepesi!, hivyo magonjwa yatakuwa rafiki yetu!.
vita yasasa ikija usifikiri utakuwa salama inaweza kufika hatua hakuna hata chakula na binadamu wakaanza kuwindana wao kwa wao wakalana!!.
hapo pia usisahau nuclear inaathiri mpk genetic!.

sasa niambie ni zwazwa gani mwenye iq iliyotimilifu atakubali kuyaona hayo..? na ndio maana nikaandika hapo juu akitokea mtu wa namna hiyo hata watu wa taifa lake watamuua!.
kaa chini ufikiri vyema, maisha ni real hizo vita za kwenye movie zisiwachote akili ukafikiri wewe ni sterling, sterling ni amani tu!..😂
 
Unafikra ndogo sana wewe!
hapa sizungumzii vita ya wewe na jirani yako!, hapa nazungumzia vita ya dunia ambayo ikitokea mapigano yake yatakuwa ni ya siraha za hali ya hatari ambazo hata baada ya vita kuisha binadamu atatakiwa ajisitiri maeneo maalum kwa muda mrefu maana kutakuwa na mionzi mikali ambayo itaathiri viumbe,mimea na hata mifumo ya dunia mfano mvua zinaweza kuwa za asidi!, na kama mataifa yote yenye nyuklia yataamua kuzitumia basi kuna uwezekano mkubwa wakuifanya dunia kutokuwa salama tena kwa muda mrefu!.

Na ukiharibu tabaka la ozone layer umehararisha mionzi inayochujwa kutoka huko anga za mbali kupenya kwa wepesi!, hivyo magonjwa yatakuwa rafiki yetu!.
vita yasasa ikija usifikiri utakuwa salama inaweza kufika hatua hakuna hata chakula na binadamu wakaanza kuwindana wao kwa wao wakalana!!.
hapo pia usisahau nuclear inaathiri mpk genetic!.

sasa niambie ni zwazwa gani mwenye iq iliyotimilifu atakubali kuyaona hayo..? na ndio maana nikaandika hapo juu akitokea mtu wa namna hiyo hata watu wa taifa lake watamuua!.
kaa chini ufikiri vyema, maisha ni real hizo vita za kwenye movie zisiwachote akili ukafikiri wewe ni sterling, sterling ni amani tu!..😂
Hapo umeongelea athari sio ujenzi watu wanajenga fasta tu. Athari zake kila mtu anajua ila ujenz kwa njaa itakayokuwepo kazi itafanyika. Ishu hapo ni kuseti system mpya dunian. Maana system inatoendesha dunia ni western system hatujui ikifa itaibuka system gan.
 
Back
Top Bottom