Nchi 25 ikiwemo Kenya zimeanza kutuma wagonjwa kuja kutibiwa Tanzania badala ya India ili kupunguza gharama

Nchi 25 ikiwemo Kenya zimeanza kutuma wagonjwa kuja kutibiwa Tanzania badala ya India ili kupunguza gharama

1661348053564.png
 
Mention them..

Usitutajie Tundu Lissu maana case yake inajulikana..Angetibiwa hapa bongo angemalizwa hukohuko wodini.
Mundosya Huwa anakuja kutibiwa Kenya. Nikuongeze wengine?
 
Coz you think hatuwezi leta tanzanians, let him show us where they have mentioned Kenya ama kenya imekua SADC country?
Huyu mama anakiri kumpeleka mtoto wake KCMC Hospital,Moshi


Huyu hapa daktari anathibitisha kwamba Kenya inaleta wagonjwa kutibiwa Muhimbili


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom