Nchi bila maji, lakini yapaa kiuchumi-tujifunze

Edo

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2008
Posts
727
Reaction score
93
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 300"]
[TR]
[TD="width: 137"][/TD]
[TD] Fahad Al-Attiya: A country with no water[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Imagine a country with abundant power -- but no water. Fahad Al-Attiya talks about the unexpected ways the nation of Qatar creates a water supply. Watch now >>
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
http://www.ted.com/talks/fahad_al_attiya_a_country_with_no_water.html?utm_source=newsletter_weekly_2013-02-02&utm_campaign=newsletter_weekly&utm_medium=email
 
Kaka nchi yoyote ni uongozi ukiwa na viongozi wasio na vision kila kitu kinaharibika..qatar wanashindana sana na uae(united arabs emirates)wakati dubai wamejenga jengo refu kuliko yote duniani (burj khalifa)lenye gorofa zaidi ya 165 qatar wakaumiza kichwa wafanye nini cha tofauti..kaka watalii wanaokwena kupanda lile gorofa kwa siku ni wengi kuliko watalii wanaotembelea mbuga zetu kwa mwezi...siku moja nilikuwa off nikaamua kwenda kupanda,nisingekuwa mwenyeji nisingeweza maana watu walikuwa ni wengi kupita kiasi na unatakiwa ufanye booking kiingilio ni tsh 50000/ile rift iliyofungwa pale ni spidi ya ajabu..kwenye hizi lift zetu kabda hujafika kwenye ghorofa ya 10 ile unakuwa umefika ghorofa ya 165!!!what a speed!!!!nchi ni uongozi kiasi cha mafuta kilichopo nigeria ni mara kumi ya mafuta yaliyopo qatar na uae kwa pamoja...miaka ya nyuma ni nchi chache sana duniani zilizokuwa na big five animals(chui..tembo..simba..twiga..nyati)nk kwa ajiri ya utalii..sisi tz tulikuwa navyo na mpaka sasa tunavyo..leo hii nchi jangwa kama qatar na uae pia wanavyo(tuliwauzia)sasa ni nani atayekuja kuwaangalia hao wanyama huku wakati ata kule wapo ???utalii unashuka...qatar inatawaliwa na familia ya al thani ni mfalme mwenye pesa hawana ufisadi maana pesa waliikuta tangu wanazaliwa
 
Vision so called DIRA, ndio tulichokikosa hapa kwetu, otherwise kila kitu tunacho isipokua wanaotuongoza macho yao yamepofuka na shimoni tunakwenda pamoja. Familia ikikushinda kuongoza uongoze vipi nchi?
 
Nakubalina nanyi sasa tunawafanyaje hawa tulionao ili wawe na vision na waisimamie?? Otherwise napakubali Khalifa, napenda wanavyotengeneza kuku wao kule bar juu, na lile buffet la pale chini si mchezo huku water/ fountain ikicheza muziki
 
Sawa kabisa kaka edo hiyo ndiyo inayoitwa modern tourism...utalii wa kisasa unatengenezwa hautegemei wanyama pori tena..siku hizi shule zikifungwa watoto wote wa matajiri ulaya na russia wanaka kupumzika dubai au qatar..edo miaka 25 iliyopita dubai ilikuwa jangwa kabisa ila wakapata kiongozi aliyeitwa sheikh zayed bin makhtoom huyu bwana ndio kiini cha kila kitu,dubai haizalishi ata kikombe kimoja cha mafuta..ila wana kitu kimoja (location)ukiangalia ramani ya dunia dubai ipo katikati,sasa kuwa middle ikawa mtaji,walijenga uwanja mkubwa sana wa ndege wakijua hapo ndipo itakuwa connection za ndege nyingi..pia waliruhusu bidhaa ziletwe kuuzwa hapa kwa kuwa ni centre..leo hii mtu huwezi kutoka tz na kwenda shopping japan ata kama unataka bidhaa ya mjapan utakuja dubai...wakajenga malls kubwa na hotels ambazo wanafanya kila juhudi kuhakikisha zinajaa wageni kila siku,wanaleta golf..mpira..shopping discount nk hivi vyote vinafanya hotel zao zijae..qatar wametumia pesa nyingi sana ili kupata nafasi ya kuandaa world cup..wanajua wanataka nini.. dubai hawazalishi ata nyanya kwa ajiri ya joto lililopo,linafika mpaka 45cºlakini wametengeneza barafu kama kwenye milima ya switzerland watu wanalipa pesa na kwenda ku ski!!!hiyo ndiyo vision,wamejenga hotel kwenye maji baadhi ya vyumba vipo majini na ni vioo sio ukuta..ukiwa chumbani unaona samaki!!chumba ni zaidi ya 10ml tshs kwa siku!!!wenye pesa wanalala hiyo ndiyo modern tourism..
 
Tunaweza kuona ni ndoto nchi kubadilika lakini inawezekana kabisa kama tunapata viongozi bora na chama bora, lakini sio CHICHIEMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…