Nchi gani Africa inatoa Bachelor of Cardiovascular Technology?

Nchi gani Africa inatoa Bachelor of Cardiovascular Technology?

LordMasele III

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2021
Posts
288
Reaction score
251
Wakuu natumaini wote ni wazima wa afya, mimi nimemaliza Diploma in Diagnostic Radiography katika chuo kikuu cha afya muhimbili (MUHAS).

Malengo yangu ni kuendelea kusoma hasa kuwa cardiovascular technologist.

Lengo la kuandaa uzi huu ni kutaka kujua ni nchi gani Africa inatoa hii programme, kama kuna mtu anafahamu kuhusu hili ningeomba anidokeze Japo hata kidogo.

Nawasilisha.
 
Wakuu natumaini wote ni wazima wa afya, mimi nimemaliza Diploma in Diagnostic Radiography katika chuo kikuu cha afya muhimbili (MUHAS).

Malengo yangu ni kuendelea kusoma hasa kuwa cardiovascular technologist.

Lengo la kuandaa uzi huu ni kutaka kujua ni nchi gani Africa inatoa hii programme, kama kuna mtu anafahamu kuhusu hili ningeomba anidokeze Japo hata kidogo.

Nawasilisha.
Kaka naomba namba yako tujuzane kuhusu Hilo swala
 
Wakuu natumaini wote ni wazima wa afya, mimi nimemaliza Diploma in Diagnostic Radiography katika chuo kikuu cha afya muhimbili (MUHAS).

Malengo yangu ni kuendelea kusoma hasa kuwa cardiovascular technologist.

Lengo la kuandaa uzi huu ni kutaka kujua ni nchi gani Africa inatoa hii programme, kama kuna mtu anafahamu kuhusu hili ningeomba anidokeze Japo hata kidogo.

Nawasilisha.
Hivi kaka unataka ukasome Kwa level ipi hii kozi?
 
Wakuu natumaini wote ni wazima wa afya, mimi nimemaliza Diploma in Diagnostic Radiography katika chuo kikuu cha afya muhimbili (MUHAS).

Malengo yangu ni kuendelea kusoma hasa kuwa cardiovascular technologist.

Lengo la kuandaa uzi huu ni kutaka kujua ni nchi gani Africa inatoa hii programme, kama kuna mtu anafahamu kuhusu hili ningeomba anidokeze Japo hata kidogo.

Nawasilisha.
Mbona kimya kaka naomba tuwasiliane
 
Back
Top Bottom