Nchi gani nzuri Duniani kujifunza ujasirimali

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,631
Habarini wakuu, Naamani Katika kujifunza kutoka kwa wengine ndio njia pekee ya kuweza kuongeza ujuzi na ubora kwa kile unachokifanya au unachotarajia kukifanya.
Je ni nchi gani either Africa au America au ulaya kwa mjasiriamali kutembelea na kujionea watu walivyopiga hatua na ukajifunza namna mbali mbali za uzalishaji bidhaa hasa za vyakula kama bakery products, bidhaa za wanyama na kuku , soft drinks and water, food sauces and suppliments etc. Hasa vyakula. Na Iwe rahisi kwa mtu kujifunza how they process, package, distribution etc
Thanks.
 
Reactions: 365
Wewe ni kichekesho.kama uko vizuri nenda China . fanya miadi na hao ambao ukisha watembelea wakufundishe uje na ujuzi na machine ya hiya kazi unayo taka kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…