Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hakuna insurance yeyote kwa pesa hizo euros 30000 ,,Wakuu habari,
Ni nchi gani ya Europe ambayo mtanzania akitaka kwenda kwa matembezi mafupi visa yake haina gharama kubwa sana. Nyingi naona zinahitaji insurance ambayo ni euro 30000 ambayo ni kubwa sana.
Tusaidiane wenye experience.
Mkuu sijakuelewa tafadhali.... yaani wanakutibu kwa euro zisizozidi 30,000 hali ya kuwa umelipia euro pungufu au. Tafadhali sijakuelewaMkuu hakuna insurance yeyote kwa pesa hizo euros 30000 ,,
Nadhani umechanganya na insurance covered ,,
Insurance ya ulaya na shengen na UK zote ni moja..zipo inchi 51 utaweza kwenda kwa insurance moja.
Kuanzia euro 15 kwa siku.
Euros 30 kwa week..
Inategemea na kampuni ya insurance..
Na validity ya hyo insurance yenyewe..
Hyo 30000 ni thamani ya hyo insurance yako wewe msafiri incase umepata tatizo. ,,
wanaweza kukugharamia kwa pesa hizo..hiyo sio insurance ya kuilipia pale ubalozini msafiri,,
wewe hupaswi kulipa hiyo,,
Hyo ni thamani ya insurance tu.,kama ukipata tatizo lolote utatibiwa kwa gharama hizo,,30,000,ambazo ni za kwao sio zako.
Sababu insurance zinatofautiana ,,,zipo hadi 180,000, zipo 150,000 ,,
Maana yake ukipata tatizo utatibiwa kwa pesa zisizozidi hizo,,
Na hyo 30000 euros ndy insurance yenye thamani ya chini kabisa,,
Ukiwa na pesa unakata hizo kubwa..
Ook yaani likitokea la kutokea inaweza kukuhudumia mpaka euro 30,000Nina maana hyo insurance yako thamani yake ni euros 30000.
Si zaidi ya hapo.
Hata hapa Tz insurance zina kiwango cha matibabu,,,
Unapolipa kiasi fulani utatibiwa kwa gharama zisizozidi kiasi fulani
Yaa..Ook yaani likitokea la kutokea inaweza kukuhudumia mpaka euro 30,000
Shukran mkuuAhsante mkuu kwa kunielimisha nimewapigia jubilee wamesema dollar 15 tu kwa week