Wakuu habari,
Ni nchi gani ya Europe ambayo mtanzania akitaka kwenda kwa matembezi mafupi visa yake haina gharama kubwa sana. Nyingi naona zinahitaji insurance ambayo ni euro 30000 ambayo ni kubwa sana.
Tusaidiane wenye experience.
Mkuu hakuna insurance yeyote kwa pesa hizo euros 30000 ,,
Nadhani umechanganya na insurance covered ,,
Insurance ya ulaya na inchi za shengen na UK ..
zipo inchi 51 utaweza kwenda kwa insurance moja.
Kuanzia euro 15 kwa siku.
Euros 30 kwa week..
Inategemea na kampuni ya insurance..
Na validity ya hyo insurance yenyewe..
Hyo 30000 ni thamani ya hyo insurance yako wewe msafiri incase umepata tatizo. ,,
wanaweza kukugharamia kwa pesa hizo..hiyo sio insurance ya kuilipia pale ubalozini msafiri,,
wewe hupaswi kulipa hiyo,,
Hyo ni thamani ya insurance tu.,kama ukipata tatizo lolote utatibiwa kwa gharama hizo,,30,000,ambazo ni za kwao sio zako.
Sababu insurance zinatofautiana ,,,zipo hadi 180,000, zipo 150,000 ,,
Maana yake ukipata tatizo utatibiwa kwa pesa zisizozidi hizo,,
Na hyo 30000 euros ndy insurance yenye thamani ya chini kabisa,,
Ukiwa na pesa unakata hizo kubwa..