KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kuna nchi ni mahiri duniani kwenye ulingo wa nguvu za giza. Licha ya kwamba Tanzania 🇹🇿 kuna maeneo na ngome konki kama Gamboshi, Pemba, Tanga, Sumbawanga, Nyamafuland nk lakini sisi si chochote wala lolote na uchawi wetu wa makaratasi.
Huko kwingine kunatà jwa Haiti ðŸ‡ðŸ‡¹, Santa Domingo, India 🇮🇳, Nigeria 🇳🇬, Romania 🇷🇴 na Uchina 🇨🇳 .
Kama wewe unamjua kigogo mwingine hebu muongeze orodhani. Msimtaje Mshana Jr Kama ni kigagula, huyu braza hajui lolote ila anajua tu ku halucinate
Huko kwingine kunatà jwa Haiti ðŸ‡ðŸ‡¹, Santa Domingo, India 🇮🇳, Nigeria 🇳🇬, Romania 🇷🇴 na Uchina 🇨🇳 .
Kama wewe unamjua kigogo mwingine hebu muongeze orodhani. Msimtaje Mshana Jr Kama ni kigagula, huyu braza hajui lolote ila anajua tu ku halucinate