Nchi hii itaendelea endapo uchaguzi wa CCM utaendeshwa kama CHADEMA walivyoendesha uchaguzi wao

Nchi hii itaendelea endapo uchaguzi wa CCM utaendeshwa kama CHADEMA walivyoendesha uchaguzi wao

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
441
Reaction score
1,065
1. Uhuru wa kujieleza na kuchagua kambi

2. Uhuru wa kuunga mkono kambi uipendayo

3. Utayari wa kukubali matokeo kwa wagombea

4. Uhuru wa kuchagua na kugombea

5. Wasimamizi wa uchaguzi kusimamia uhesabuji wa kura halali

6. Kuruhusu wanachama, wananchi kumchagua kiongozi wampendaye

Haya mambo ni magumu sana kuonekana ndani ya nchi yetu kwenye chaguzi mbalimbali. Wanaopigania TUME HURU nadhani mmeelewa kuwa Tume huru haiwezi kuwa huru bila kuwa na watu huru na watu huru hawapatikani kirahisi, wanaandaliwa kwa kupewa elimu sahihi inayowawezesha kujitambua, kujielewa na kujisimamia na wazelendo wa kweli wa nafsi zao na viapo vyao kama J.J. Mnyika na Dr. Mpango
 
Hawajawahi kuweza toka kipindi wanapiga kura ya Nyerere vs Kivuli hadi juzi walipompaigia makofi Sa100 vs Sa100, yaani hakuna kuchukua form as jina lipo, lilipitishwa wapi wanajua wao ccm.

Wanajiita "jabali", sijui ni jabali au janaba!
 
1. Uhuru wa kujieleza na kuchagua kambi
2. Uhuru wa kuunga mkono kambi uipendayo
3. Utayari wa kukubali matokeo kwa wagombea
4. Uhuru wa kuchagua na kugombea
5. Wasimamizi wa uchaguzi kusimamia uhesabuji wa kura halali
6. Kuruhusu wanachama, wananchi kumchagua kiongozi wampendaye

Haya mambo ni magumu sana kuonekana ndani ya nchi yetu kwenye chaguzi mbalimbali. Wanaopigania TUME HURU nadhani mmeelewa kuwa Tume huru haiwezi kuwa huru bila kuwa na watu huru na watu huru hawapatikani kirahisi, wanaandaliwa kwa kupewa elimu sahihi inayowawezesha kujitambua, kujielewa na kujisimamia na wazelendo wa kweli wa nafsi zao na viapo vyao kama J.J. Mnyika na Dr. Mpango
Kabisa, uchaguzi wote na kuhesabu kura zote ziwe live, mubashara on TV, online. Chadema wameonyesha Demokrasia ya ukweli.
 
TUNAHITAJI TUME HURU TU ili hayo yote kutendeka, ushamba na uchu wa madaraka ndo vinatufanya nchi za kiafrica kuishi maisha ya kupelekwa kama punda
 
1. Uhuru wa kujieleza na kuchagua kambi
2. Uhuru wa kuunga mkono kambi uipendayo
3. Utayari wa kukubali matokeo kwa wagombea
4. Uhuru wa kuchagua na kugombea
5. Wasimamizi wa uchaguzi kusimamia uhesabuji wa kura halali
6. Kuruhusu wanachama, wananchi kumchagua kiongozi wampendaye

Haya mambo ni magumu sana kuonekana ndani ya nchi yetu kwenye chaguzi mbalimbali. Wanaopigania TUME HURU nadhani mmeelewa kuwa Tume huru haiwezi kuwa huru bila kuwa na watu huru na watu huru hawapatikani kirahisi, wanaandaliwa kwa kupewa elimu sahihi inayowawezesha kujitambua, kujielewa na kujisimamia na wazelendo wa kweli wa nafsi zao na viapo vyao kama J.J. Mnyika na Dr. Mpango
Mtoe huyo Dr. Mpango hapo, huyo ni sehemu ya watu waliokaa kimya wakati Magufuli akinanisi chaguzi na demokrasia ya nchi hii.
 
1. Uhuru wa kujieleza na kuchagua kambi
2. Uhuru wa kuunga mkono kambi uipendayo
3. Utayari wa kukubali matokeo kwa wagombea
4. Uhuru wa kuchagua na kugombea
5. Wasimamizi wa uchaguzi kusimamia uhesabuji wa kura halali
6. Kuruhusu wanachama, wananchi kumchagua kiongozi wampendaye

Haya mambo ni magumu sana kuonekana ndani ya nchi yetu kwenye chaguzi mbalimbali. Wanaopigania TUME HURU nadhani mmeelewa kuwa Tume huru haiwezi kuwa huru bila kuwa na watu huru na watu huru hawapatikani kirahisi, wanaandaliwa kwa kupewa elimu sahihi inayowawezesha kujitambua, kujielewa na kujisimamia na wazelendo wa kweli wa nafsi zao na viapo vyao kama J.J. Mnyika na Dr. Mpango
Weeeee ccm wahesabu kura hadharani ? Thubutu lazima wabebe masanduku ya kura waendenayo chumba chenye Giza waje na maigizo ya ushindi wa 99%.
 
CCM huiba hata uchaguzi wa Kitongoji- Mh John Heche 22/01/2025 Ukumbi wa Mlimani City
 
Mnaonaje Demokrasia kama ile kwenye Chama cha ANC huko Africa kusini ??!
Chama kina uwezo wa kumuondoa Rais madarakani 😂😅😄 !

Ni mpaka kofia mbili zitenganishwe kwa watu wawili tofauti !!
Vinginevyo watabaki Wazee wengine wanalalamika kwa mafumbo Eti wenye Chama wameamua 🙄
Au nimekosea ?
Lakini wenye Chama ndio sisi 😳 !
Au nasema uongo ndugu zanguni ????!! 😄😅😂😂😂 !!

Mwingine akasema sijui nimekusaidia Mwenyekiti au nimekosea ? 😄😅😂 !

Mafumbo mafumbo tu ! 🤣
Kazi kweli kweli !
 
Back
Top Bottom