Nchi iko pagumu sana. Trust me, tunajipa moyo tu

Niuzie hizo gunia za mpunga maana siyo leo wala kesho mpunga utapanda bei mkuu ..nitakupa 30k kwa kila gunia chukua hela hiyo nataka gunia 200
 
Niuzie hizo gunia za mpunga maana siyo leo wala kesho mpunga utapanda bei mkuu ..nitakupa 30k kwa kila gunia chukua hela hiyo nataka gunia 200
30k hapana siwezi kuuza kama hazitapanda bei nitasubiri mwakani nikilima nikipata zingine probably zitakuwa umepanda bei na mimi nitakuwa nao mwingi.
 
Mafuta ya kula yakipanda bei ni fursa kwako mkulima. Sasa lima alizeti upige pesa. Kuhusu mahindi NFRA wamepewa pesa wayanunue. Tafuta vituo vyao ukauze.
Unayakumbuka mabilioni ya pesa kwa ajili ya vijana mikoani yaliyotolewa enzi za awamu ya nne!?
 
Biashara na ufugaji
Mkuu sekta ya biashara haijakaa vizuri, kuna kodi ambazo hazina msingi wake, hizo kwa kiwango kikumbwa ndizo zilizozalusha wamachinga wengi ambao kwa sasa ndio tishio la watawala. Ufugaji ni shughuli pevu, ni lazima uwe na eneo lako, jambo ambalo ni ngumu. Aidha migogoro ya wakulima na wafugaji bado haijapatiwa ufumbuzi. Ni kazi kwelikweli.
 
Pole Sana lakini kumbuka usifanye kilimo Cha kibiashara kama unategemea mvua .Nakushauli uwe unanunua mazao kwa wakulima faida ipo kubwa Sana.
Mkuu ushauri wako ni mzuri sana, tatizo mtaji. WaTZ wengi hatuna mitaji ya uhakika. Unaweza ukaanza na akiba kidogo uliyonayo kwa bahati mbaya mtaji ukakata hapo ndio basi tena.
 
Kwenda zako huko. Mungu hawezi kuweka ma-rais wauaji (aliyefariki) na goigoi (aliyepo). Hawa marais wamepatikani kwa kutumia madhaifu makubwa ya kibinadamu tuliyonayo.
 
[/QUOTE]Kuhusu huyu mama mi ndo simuelewi kabisaaaaaaa[/QUOTE]


Nipo pamoja na WEWE [emoji115][emoji115][emoji115][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Serikali inaua kila kitu kwa mikodi isiyo na maana kama hii, tumekuwa watumwa na maskini kwa sheria zetu wenyewe inabidi wenye akili wapigane kuziondoa, jaribu kuweka investment kwenye storage/maghala ya kisasa, unanunua wakati bei ipo chini unayatoa yakiwa juu labda itasaidia
 
Bora biashara
 
Hili swali lako ndo kinachonifanya na mi nijiulize!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…