Nchi inaenda kuwa na umeme wa kutosha lakini inaingia mkataba kununua umeme toka Ethiopia

Nchi inaenda kuwa na umeme wa kutosha lakini inaingia mkataba kununua umeme toka Ethiopia

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Nchi hii iliyojaa vigogo wasioweza kufanya jambo bila maslahi yao binafsi kuwepo sasa inaenda kununua umeme toka Ethiopia. Ingefaa tuambiwe vizuri kama ni kwa faida ya nani maana jambo muhimu hapa kwa mwananchi wa kawaida ni kuona juhudi ambazo zimekua zikiendelea kwa kasi nzuri kusambaza umeme zinakamilika.

Licha hata kabla ya mashine zote za bwawa la nyerere kuwashwa tayari tumeambiwa umeme tumejitosheleza hadi tulipo. La ajabu unaona kila kigogo akipigana na mpango wake bila shaka kupiga dili. Kuna wanataka kuipa kampuni ya Adani ya india kusambaza umeme nchini wakati REA ishafanya kazi hiyo kwa weledi. Wengine ndio hawa wanataka tununue umeme toka Ethiopia. Wako vigogo wana mpango tuuze umeme nje hadi South afrika. Yaani kila kigogo au kundi la vigogo wanavuta ngozi kuwamba upande wao.

Kwa namna inaonekana vigogo hawana mpango wa wananchi ila mipango ya kushibisha matumbo yao.​
 
Wengine ndio hawa wanataka tununue umeme toka Ethiopia. Wako vigogo wana mpango tuuze umeme nje hadi South afrika. Yaani kila kigogo au kundi la vigogo wanavuta ngozi kuwamba upande wao.
Sio cha kwenu ni cha kwao wakiona namna gani wanauza kila kitu na hamna cha kuwaambia, mtakaa tu kulalamika basi hamna cha kuwafanya
 
20250307_211349.jpg
 
Nchi hii iliyojaa vigogo wasioweza kufanya jambo bila maslahi yao binafsi kuwepo sasa inaenda kununua umeme toka Ethiopia. Ingefaa tuambiwe vizuri kama ni kwa faida ya nani maana jambo muhimu hapa kwa mwananchi wa kawaida ni kuona juhudi ambazo zimekua zikiendelea kwa kasi nzuri kusambaza umeme zinakamilika.

Licha hata kabla ya mashine zote za bwawa la nyerere kuwashwa tayari tumeambiwa umeme tumejitosheleza hadi tulipo. La ajabu unaona kila kigogo akipigana na mpango wake bila shaka kupiga dili. Kuna wanataka kuipa kampuni ya Adani ya india kusambaza umeme nchini wakati REA ishafanya kazi hiyo kwa weledi. Wengine ndio hawa wanataka tununue umeme toka Ethiopia. Wako vigogo wana mpango tuuze umeme nje hadi South afrika. Yaani kila kigogo au kundi la vigogo wanavuta ngozi kuwamba upande wao.

Kwa namna inaonekana vigogo hawana mpango wa wananchi ila mipango ya kushibisha matumbo yao.​
Kununua umeme sio shida, umeme wa, Ethiopia,upo tayari pale Nairobi, kwenye grid, waya za umeme, ni, swala la Ku tap tu unaingiza Arusha,
Kinacholeta shida, hawa kenge walituambia tutaanza kuuza umeme Kenya na Uganda, kaskazini, sasa, kama, tunaweza kutoa umeme kwenye grid yetu tukauza Kenya, kwanini huo umeme iwe shida kupeleka Arusha? Kwamba Arusha inamatumizi makubwa kuliko Kenya?
Ingekuwa tunauza umeme Msumbiji
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Kununua umeme sio shida, umeme wa, Ethiopia,upo tayari pale Nairobi, kwenye grid, waya za umeme, ni, swala la Ku tap tu unaingiza Arusha,
Kinacholeta shida, hawa kenge walituambia tutaanza kuuza umeme Kenya na Uganda, kaskazini, sasa, kama, tunaweza kutoa umeme kwenye grid yetu tukauza Kenya, kwanini huo umeme iwe shida kupeleka Arusha? Kwamba Arusha inamatumizi makubwa kuliko Kenya?
Ingekuwa tunauza umeme Msumbiji
Akili ya kawaida,kila mtu abaki na umeme wake,biashara ni kitu muhimu sana ata kama una kila kitu lazima ununue Cha mwingine,hakuna mfanya biashara anaye jiuzia mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom