Nchi inanuka rushwa za wazi wazi

Nchi inanuka rushwa za wazi wazi

Matangwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
750
Reaction score
1,394
Sakata la Kariakoo limeonyesha wazi namna nchi inavyonuka rushwa za waziwazi. Hii ni sehem moja tu iliyomulikwa na inaonyesha watumishi wa umma has TRA na FORODHA wanavyokula kwa urefu wa kamba zao bila kuogopa sheria za nchi.

Hii hali ya rushwa za waziwazi na uzembe kwa watumishi wa umma imetapakaa kote serikali anzia Halimashauri, TRA, POLISI, Mahakama na kila mahali

Cha kushangaza zaidi ni vyombo vyetu vya habari ambavyo vimekuwa mateka wa wa serikali hii kwa sababu ya rushwa kwa waandishi wa habar na marupupu mengine

Kwa ujumla nchi hii kwa sasa inapitia hali ya wasiwasi mkubwa sana, kijamii, kiuchumi na kihabari. Matokeo ya utendaji dhaifu wa serikali hii unaende kuwaacha mamilioni ya watanzania katika umasikini na dhiki ya mda mrefu.
Maeneo yatakayoadhirika zaidi katika miaka ijayo ijayo kutokana na udhaifu wa seikali hii ni pamoja Kiwangu duni sana cha elimu, Huduma mbivu sana za afya
 
Wawe wanarekodi matukio kila wanapoulizwa rushwa na kuweka mitandaoni kila siku
Fungeni cctv kila sehemu, vinasa sauti vipo tena vingine ni video camera ndogo sana

Rushwa haitaisha bila kupambana
 
Sakata la Kariakoo limeonyesha wazi namna nchi inavyonuka rushwa za waziwazi. Hii ni sehem moja tu iliyomulikwa na inaonyesha watumishi wa umma has TRA na FORODHA wanavyokula kwa urefu wa kamba zao bila kuogopa sheria za nchi.

Hii hali ya rushwa za waziwazi na uzembe kwa watumishi wa umma imetapakaa kote serikali anzia Halimashauri, TRA, POLISI, Mahakama na kila mahali

Cha kushangaza zaidi ni vyombo vyetu vya habari ambavyo vimekuwa mateka wa wa serikali hii kwa sababu ya rushwa kwa waandishi wa habar na marupupu mengine

Kwa ujumla nchi hii kwa sasa inapitia hali ya wasiwasi mkubwa sana, kijamii, kiuchumi na kihabari. Matokeo ya utendaji dhaifu wa serikali hii unaende kuwaacha mamilioni ya watanzania katika umasikini na dhiki ya mda mrefu.
Maeneo yatakayoadhirika zaidi katika miaka ijayo ijayo kutokana na udhaifu wa seikali hii ni pamoja Kiwangu duni sana cha elimu, Huduma mbivu sana za afya
Hakuna awamu ambayo hakukua na rushwa, Wala hakuna awamu ambayo serikari yake ilipambana na rushwa Kwa asilimia hata nusu. Chini ya mwendazake upigaji ulikuepo, ila wasemaje walinyamazishwa, so ni kama haikuepo coz hayakuwa na wasemaji. Nakumbuka taarifa za CAG Kwa awamu ya sita, zililipoti Kwa uwoga tofauti na sasa.
 
Hakuna awamu ambayo hakukua na rushwa, Wala hakuna awamu ambayo serikari yake ilipambana na rushwa Kwa asilimia hata nusu. Chini ya mwendazake upigaji ulikuepo, ila wasemaje walinyamazishwa, so ni kama haikuepo coz hayakuwa na wasemaji. Nakumbuka taarifa za CAG Kwa awamu ya sita, zililipoti Kwa uwoga tofauti na sasa.
Acha chuki zako za KIJINGA. Mwendazake alifanya kazi ya kutukuka, shida ni kwamba mnalipwa kumchafua.
 
Sakata la Kariakoo limeonyesha wazi namna nchi inavyonuka rushwa za waziwazi. Hii ni sehem moja tu iliyomulikwa na inaonyesha watumishi wa umma has TRA na FORODHA wanavyokula kwa urefu wa kamba zao bila kuogopa sheria za nchi.

Hii hali ya rushwa za waziwazi na uzembe kwa watumishi wa umma imetapakaa kote serikali anzia Halimashauri, TRA, POLISI, Mahakama na kila mahali

Cha kushangaza zaidi ni vyombo vyetu vya habari ambavyo vimekuwa mateka wa wa serikali hii kwa sababu ya rushwa kwa waandishi wa habar na marupupu mengine

Kwa ujumla nchi hii kwa sasa inapitia hali ya wasiwasi mkubwa sana, kijamii, kiuchumi na kihabari. Matokeo ya utendaji dhaifu wa serikali hii unaende kuwaacha mamilioni ya watanzania katika umasikini na dhiki ya mda mrefu.
Maeneo yatakayoadhirika zaidi katika miaka ijayo ijayo kutokana na udhaifu wa seikali hii ni pamoja Kiwangu duni sana cha elimu, Huduma mbivu sana za afya
tatizo mifumo ya nchi yetu ni ya hovyo na hakuna vetting.kwa sasa madaraka hayaangalii weledi bali bali vyeti.rushwa kama hizo zimetamalaki kila sekta.kuna rushwa za fedha,ngono na vitu.tra ni mfano mojawapo lakini karibu sekta zote zimekumbwa na rushwa.nenda ardhi,mahakama,pccb,polisi,afya, nk kuna rushwa za wazi wazi.hii awamu rushwa imerejea kwa kasi sana.nchi inahitaji kiongozi dikteta asiye na huruma vinginevyo nchi inaenda kubaya na pia katiba inaweza kuwa suluhisho pekee ili kuondokana na hali hii.
 
Awamu ya Magufuli alipambana sana na rushwa sema mnasumbuliwa na chuki zenu na wengine ni mawakala wa mafisadi wa sasahivi wanawalipa
 
Hakuna awamu ambayo hakukua na rushwa, Wala hakuna awamu ambayo serikari yake ilipambana na rushwa Kwa asilimia hata nusu. Chini ya mwendazake upigaji ulikuepo, ila wasemaje walinyamazishwa, so ni kama haikuepo coz hayakuwa na wasemaji. Nakumbuka taarifa za CAG Kwa awamu ya sita, zililipoti Kwa uwoga tofauti na sasa.
Nyie ndio mnaturudisha nyuma.
 
Mbona iko hivyo zamani, tangu enzi za TANU.

Labda umejua sasa kwa vile angalau kidogo kuna uhuru wa kupashana habari, ambao yule mwovu aliuiba awamu ya 5.
 
Hakuna awamu ambayo hakukua na rushwa, Wala hakuna awamu ambayo serikari yake ilipambana na rushwa Kwa asilimia hata nusu. Chini ya mwendazake upigaji ulikuepo, ila wasemaje walinyamazishwa, so ni kama haikuepo coz hayakuwa na wasemaji. Nakumbuka taarifa za CAG Kwa awamu ya sita, zililipoti Kwa uwoga tofauti na sasa.
Actually hata dunia nzima hakuna nchi isiyokuwa na wala rushwa, hata huko ambako wanapigwa risasi, kufungwa au kukata vichwa lakini bado watu wanajaribu kula rushwa.

Kwa kwetu hapa kwamba awamu fulani ilikuwa haina wala rushwa wengi mimi siamini, ni kwamba huwa wanabadilika tu wakitoka wapambe wa huyu wanaingia wapambe wa mwingine. Wanadhania wale wanaokomaa kwenye kampeni na wengine kutoa fedha zao nyingi ni bure tu? Siyo kweli kabisa, wale wanategemea kuvuna faida fulani baadae.

Tusidanganyane hapa hata nyinyi wapiga kelele mukipata nafasi mutakuwa sawa na hao waliopo sasa.
 
Back
Top Bottom