Wanazawadiwa magari na hao wanaopiga unategemea nini hapoTanzania inatafunwa kwa kasi ya ajabu, lakini viongozi wa Dini wapo kimya wakisubiri SADAKA na mialiko ya kwenda IKULU kufaidi mema ya Nchi.
Dini ni taasisi inayosajiliwa na serikali
Sasa ulitaka waseme nini au ulitaka wasemaeje??