Nchi inazidi kufunguliwa, ukizubaa shauri yako

Nchi inazidi kufunguliwa, ukizubaa shauri yako

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
NCHI INAZIDI KUFUNGULIWA, UKIZUBAA SHAURI YAKO.

Anaandika, Robert Heriel

Naona nchi inazidi kufunguliwa, wageni Kutoka Nchi za ng'ambo wanazidi kumiminika. Majiji makubwa yamesongwa na wageni wa tabaka za Kati na zajuu. Kazi kwenu vijana na wamama kuchangamka.

Nchi ikifunguliwa inakuwa na mambo mengi Kwa maana penye wengi kuna mengi. Nchi ikifunguliwa na watu wanafunguka, unajua nini kinatokea Watu wakifunguka? "Pesa, Pesa, Pesa × 3" hicho ndio kiitikio cha jibu la swali Hilo.

Majizi, Wezi, matapeli, wahujumu uchumi, dili zote hatari zinafunguliwa. Lakini pia zipo dili Safi na biashara halali zinafanyika. Hilo lisikutishe hiyo ni kawaida Kama nchi ikifunguliwa kwani inatoa fursa kila MTU kufunguka, kila mmoja ale Kwa urefu wa Kamba yake.

Lakini usije ukajichanganya ukafanya Dili chafu, dili haramu ukidhani nchi ikifunguliwa basi Sheria hazifanyi kazi, oooh! Sheria zipo palepale Ndugu watazamaji na wasomaji pàle😀😀.

Ukiamua kubaki kulalama, bakia hapohapo Wakati wenzako wapo speed 120 highway kwenye mteremko mkali.

Naomba Kwa heshima na taadhima nisiwaache bila kuwapa mbinu za kudili na nchi inapofunguliwa; ni kama ifuatavyo:

1. Hakikisha muda wote unabando, usipitwe na taarifa zozote za kisiasa na kiuchumi.

2. Anza Tabia ya kuangalia na kusikiliza Redio na linings channel za taifa kama TBC 1, Channel 10, Safari channel.
Mara mojamoja Angalia Cloud Tv hasa vipindi vya Maendeleo.

3. Anzisha biashara yoyote inayohusu kutoa Huduma au kuuza bidhaa.

4. Pendelea kutembelea maeneo yenye wageni wengi wa kigeni.

5. Wakati Watu wanalalamika vitu bei ghali, wewe tafuta namna ya kuvipata Kwa bei rahisi alafu uwauzie.
Nchi inapofunguliwa ni kawaida Maisha kuwa ghali na vitu kupanda bei lakini Pesa itakuwa inapatikana kirahisi.

6. Achana na mambo ya kupambana na wanasiasa au vyombo vya dola, wewe Kula nao sahani moja. Wasikusumbue nawe usiwasumbue. Msisumbuane.

7. Usikae kwenye line ya mwenzako, wala usikanyage waya.

8. Ukiingia kwenye dili haramu hakikisha unajua mlango wa kutokea, na Kwa vile wewe sio mzoefu, hakikisha usiwe incharge Kwa asilimia kubwa labda uwe muuza mchongo au ramani kuliko kuingia Field.
Zingatia Kwenye dili nyeusi wanapojaa Watu wengi itafikia Wakati WA kuwapunguza Watu ili biashara iwe stable. Watakaopunguzwa ni wale wadogowadogo wasio na uzoefu.
Hivyo inaweza kukugharimu.

9. Hakikisha unakuwa Katika silent mode au Low Key Wakati nchi ikiwa inafunguliwa. Wanasema Wakati WA Kula sio Wakati WA kupiga mayowe.

10. Ni Wakati na wewe wa kusafiri hata safari moja kuelekea hata hapo Dubai. Huwezi kosa milioni tano ya kukufikisha angalau nchi za nje. Huko ukikaa hata siku nne utakuwa umejifungua Kwa namna moja ama nyingine.

11. Nchi ikifunguliwa kesi haziwi nyingi kwa sababu kila mtu anafuraha, alafu mnaweza kumalizana wenyewe Kwa wenyewe pasipo kupelekana polisi au Mahakamani. Hivyo kama wewe ni MTU wa kupenda kesi kesi msimu huu unaweza kukusumbua.

Vijana ni Wwakati wa kuchangamka, kama haukuwahi kushika hata milioni 10 basi nchi ikifunguliwa ndio Wakati Sahihi Kabisa na uwezekano wa Kupata hizo Pesa.

Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Nipumzike SASA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
“Ni Wakati na wewe wa kusafiri hata safari moja kuelekea hata hapo Dubai.”


714885CA-7081-4991-89A9-4D024932E2AC.jpeg
 
NCHI INAZIDI KUFUNGULIWA, UKIZUBAA SHAURI YAKO.

Anaandika, Robert Heriel

Naona nchi inazidi kufunguliwa, wageni Kutoka Nchi za ng'ambo wanazidi kumiminika. Majiji makubwa yamesongwa na wageni wa tabaka za Kati na zajuu.
Kazi kwenu vijana na wamama kuchangamka.

Nchi ikifunguliwa inakuwa na mambo mengi Kwa maana penye wengi kuna mengi.
Nchi ikifunguliwa na watu wanafunguka, unajua nini kinatokea Watu wakifunguka?
"Pesa, Pesa, Pesa × 3" hicho ndio kiitikio cha jibu la swali Hilo.

Majizi, Wezi, matapeli, wahujumu uchumi, dili zote hatari zinafunguliwa.
Lakini pia zipo dili Safi na biashara halali zinafanyika. Hilo lisikutishe hiyo ni kawaida Kama nchi ikifunguliwa kwani inatoa fursa kila MTU kufunguka, kila mmoja ale Kwa urefu wa Kamba yake.

Lakini usije ukajichanganya ukafanya Dili chafu, dili haramu ukidhani nchi ikifunguliwa basi Sheria hazifanyi kazi, oooh! Sheria zipo palepale Ndugu watazamaji na wasomaji pàle😀😀.

Ukiamua kubaki kulalama, bakia hapohapo Wakati wenzako wapo speed 120 highway kwenye mteremko mkali.

Naomba Kwa heshima na taadhima nisiwaache bila kuwapa mbinu za kudili na nchi inapofunguliwa; ni kama ifuatavyo;

1. Hakikisha muda wote unabando, usipitwe na taarifa zozote za kisiasa na kiuchumi.

2. Anza Tabia ya kuangalia na kusikiliza Redio na linings channel za taifa kama TBC 1, Channel 10, Safari channel.
Mara mojamoja Angalia Cloud Tv hasa vipindi vya Maendeleo.

3. Anzisha biashara yoyote inayohusu kutoa Huduma au kuuza bidhaa.

4. Pendelea kutembelea maeneo yenye wageni wengi WA kigeni.

5. Wakati Watu wanalalamika vitu bei ghali, wewe tafuta namna ya kuvipata Kwa bei rahisi alafu uwauzie.
Nchi inapofunguliwa ni kawaida Maisha kuwa ghali na vitu kupanda bei lakini Pesa itakuwa inapatikana kirahisi.

6. Achana na mambo ya kupambana na wanasiasa au vyombo vya dola, wewe Kula nao sahani moja. Wasikusumbue nawe usiwasumbue. Msisumbuane.

7. Usikae kwenye line ya mwenzako, wala usikanyage waya.

8. Ukiingia kwenye dili haramu hakikisha unajua mlango wa kutokea, na Kwa vile wewe sio mzoefu, hakikisha usiwe incharge Kwa asilimia kubwa labda uwe muuza mchongo au ramani kuliko kuingia Field.
Zingatia Kwenye dili nyeusi wanapojaa Watu wengi itafikia Wakati WA kuwapunguza Watu ili biashara iwe stable. Watakaopunguzwa ni wale wadogowadogo wasio na uzoefu.
Hivyo inaweza kukugharimu.

9. Hakikisha unakuwa Katika silent mode au Low Key Wakati nchi ikiwa inafunguliwa.
Wanasema Wakati WA Kula sio Wakati WA kupiga mayowe.

10. Ni Wakati na wewe wa kusafiri hata safari moja kuelekea hata hapo Dubai.
Huwezi kosa milioni tano ya kukufikisha angalau nchi za nje. Huko ukikaa hata siku nne utakuwa umejifungua Kwa namna moja ama nyingine.

11. Nchi ikifunguliwa kesi haziwi nyingi kwa sababu kila mtu anafuraha, alafu mnaweza kumalizana wenyewe Kwa wenyewe pasipo kupelekana polisi au Mahakamani.
Hivyo kama wewe ni MTU wa kupenda kesi kesi msimu huu unaweza kukusumbua.

Vijana ni Wakati WA kuchangamka, kama haukuwahi kushika hata milioni 10 basi nchi ikifunguliwa ndio Wakati Sahihi Kabisa na uwezekano wa Kupata hizo Pesa.

Kila mtu ale Kwa urefu wa Kamba yake.

Nipumzike SASA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Namba sita nitajaribu kuifanyia kazi kama nitaweza !
 
Kweli huu ni ushauri murua hasa kwa masalia ya mwendazake maana wenyewe wamekalia kusema tu "kama ingekuwa Magufuli ". Fursa zimekuja wenyewe wamejikita na historia tuliyoifukia Machi 2021
Unaacha kulala usingizi unamwaza mwendazake wew kweli ni hewa ndiyo hata Uzi hujauelewa kweli kuna shida kubwa kwenye uwezo wa kufikiri
 
NCHI INAZIDI KUFUNGULIWA, UKIZUBAA SHAURI YAKO.

Anaandika, Robert Heriel

Naona nchi inazidi kufunguliwa, wageni Kutoka Nchi za ng'ambo wanazidi kumiminika. Majiji makubwa yamesongwa na wageni wa tabaka za Kati na zajuu. Kazi kwenu vijana na wamama kuchangamka.

Nchi ikifunguliwa inakuwa na mambo mengi Kwa maana penye wengi kuna mengi. Nchi ikifunguliwa na watu wanafunguka, unajua nini kinatokea Watu wakifunguka? "Pesa, Pesa, Pesa × 3" hicho ndio kiitikio cha jibu la swali Hilo.

Majizi, Wezi, matapeli, wahujumu uchumi, dili zote hatari zinafunguliwa. Lakini pia zipo dili Safi na biashara halali zinafanyika. Hilo lisikutishe hiyo ni kawaida Kama nchi ikifunguliwa kwani inatoa fursa kila MTU kufunguka, kila mmoja ale Kwa urefu wa Kamba yake.

Lakini usije ukajichanganya ukafanya Dili chafu, dili haramu ukidhani nchi ikifunguliwa basi Sheria hazifanyi kazi, oooh! Sheria zipo palepale Ndugu watazamaji na wasomaji pàle😀😀.

Ukiamua kubaki kulalama, bakia hapohapo Wakati wenzako wapo speed 120 highway kwenye mteremko mkali.

Naomba Kwa heshima na taadhima nisiwaache bila kuwapa mbinu za kudili na nchi inapofunguliwa; ni kama ifuatavyo:

1. Hakikisha muda wote unabando, usipitwe na taarifa zozote za kisiasa na kiuchumi.

2. Anza Tabia ya kuangalia na kusikiliza Redio na linings channel za taifa kama TBC 1, Channel 10, Safari channel.
Mara mojamoja Angalia Cloud Tv hasa vipindi vya Maendeleo.

3. Anzisha biashara yoyote inayohusu kutoa Huduma au kuuza bidhaa.

4. Pendelea kutembelea maeneo yenye wageni wengi wa kigeni.

5. Wakati Watu wanalalamika vitu bei ghali, wewe tafuta namna ya kuvipata Kwa bei rahisi alafu uwauzie.
Nchi inapofunguliwa ni kawaida Maisha kuwa ghali na vitu kupanda bei lakini Pesa itakuwa inapatikana kirahisi.

6. Achana na mambo ya kupambana na wanasiasa au vyombo vya dola, wewe Kula nao sahani moja. Wasikusumbue nawe usiwasumbue. Msisumbuane.

7. Usikae kwenye line ya mwenzako, wala usikanyage waya.

8. Ukiingia kwenye dili haramu hakikisha unajua mlango wa kutokea, na Kwa vile wewe sio mzoefu, hakikisha usiwe incharge Kwa asilimia kubwa labda uwe muuza mchongo au ramani kuliko kuingia Field.
Zingatia Kwenye dili nyeusi wanapojaa Watu wengi itafikia Wakati WA kuwapunguza Watu ili biashara iwe stable. Watakaopunguzwa ni wale wadogowadogo wasio na uzoefu.
Hivyo inaweza kukugharimu.

9. Hakikisha unakuwa Katika silent mode au Low Key Wakati nchi ikiwa inafunguliwa. Wanasema Wakati WA Kula sio Wakati WA kupiga mayowe.

10. Ni Wakati na wewe wa kusafiri hata safari moja kuelekea hata hapo Dubai. Huwezi kosa milioni tano ya kukufikisha angalau nchi za nje. Huko ukikaa hata siku nne utakuwa umejifungua Kwa namna moja ama nyingine.

11. Nchi ikifunguliwa kesi haziwi nyingi kwa sababu kila mtu anafuraha, alafu mnaweza kumalizana wenyewe Kwa wenyewe pasipo kupelekana polisi au Mahakamani. Hivyo kama wewe ni MTU wa kupenda kesi kesi msimu huu unaweza kukusumbua.

Vijana ni Wwakati wa kuchangamka, kama haukuwahi kushika hata milioni 10 basi nchi ikifunguliwa ndio Wakati Sahihi Kabisa na uwezekano wa Kupata hizo Pesa.

Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Nipumzike SASA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Na hizi ndio fursa zenyewe kabla ya wehu kuja
 
NCHI INAZIDI KUFUNGULIWA, UKIZUBAA SHAURI YAKO.

Anaandika, Robert Heriel

Naona nchi inazidi kufunguliwa, wageni Kutoka Nchi za ng'ambo wanazidi kumiminika. Majiji makubwa yamesongwa na wageni wa tabaka za Kati na zajuu. Kazi kwenu vijana na wamama kuchangamka.

Nchi ikifunguliwa inakuwa na mambo mengi Kwa maana penye wengi kuna mengi. Nchi ikifunguliwa na watu wanafunguka, unajua nini kinatokea Watu wakifunguka? "Pesa, Pesa, Pesa × 3" hicho ndio kiitikio cha jibu la swali Hilo.

Majizi, Wezi, matapeli, wahujumu uchumi, dili zote hatari zinafunguliwa. Lakini pia zipo dili Safi na biashara halali zinafanyika. Hilo lisikutishe hiyo ni kawaida Kama nchi ikifunguliwa kwani inatoa fursa kila MTU kufunguka, kila mmoja ale Kwa urefu wa Kamba yake.

Lakini usije ukajichanganya ukafanya Dili chafu, dili haramu ukidhani nchi ikifunguliwa basi Sheria hazifanyi kazi, oooh! Sheria zipo palepale Ndugu watazamaji na wasomaji pàle😀😀.

Ukiamua kubaki kulalama, bakia hapohapo Wakati wenzako wapo speed 120 highway kwenye mteremko mkali.

Naomba Kwa heshima na taadhima nisiwaache bila kuwapa mbinu za kudili na nchi inapofunguliwa; ni kama ifuatavyo:

1. Hakikisha muda wote unabando, usipitwe na taarifa zozote za kisiasa na kiuchumi.

2. Anza Tabia ya kuangalia na kusikiliza Redio na linings channel za taifa kama TBC 1, Channel 10, Safari channel.
Mara mojamoja Angalia Cloud Tv hasa vipindi vya Maendeleo.

3. Anzisha biashara yoyote inayohusu kutoa Huduma au kuuza bidhaa.

4. Pendelea kutembelea maeneo yenye wageni wengi wa kigeni.

5. Wakati Watu wanalalamika vitu bei ghali, wewe tafuta namna ya kuvipata Kwa bei rahisi alafu uwauzie.
Nchi inapofunguliwa ni kawaida Maisha kuwa ghali na vitu kupanda bei lakini Pesa itakuwa inapatikana kirahisi.

6. Achana na mambo ya kupambana na wanasiasa au vyombo vya dola, wewe Kula nao sahani moja. Wasikusumbue nawe usiwasumbue. Msisumbuane.

7. Usikae kwenye line ya mwenzako, wala usikanyage waya.

8. Ukiingia kwenye dili haramu hakikisha unajua mlango wa kutokea, na Kwa vile wewe sio mzoefu, hakikisha usiwe incharge Kwa asilimia kubwa labda uwe muuza mchongo au ramani kuliko kuingia Field.
Zingatia Kwenye dili nyeusi wanapojaa Watu wengi itafikia Wakati WA kuwapunguza Watu ili biashara iwe stable. Watakaopunguzwa ni wale wadogowadogo wasio na uzoefu.
Hivyo inaweza kukugharimu.

9. Hakikisha unakuwa Katika silent mode au Low Key Wakati nchi ikiwa inafunguliwa. Wanasema Wakati WA Kula sio Wakati WA kupiga mayowe.

10. Ni Wakati na wewe wa kusafiri hata safari moja kuelekea hata hapo Dubai. Huwezi kosa milioni tano ya kukufikisha angalau nchi za nje. Huko ukikaa hata siku nne utakuwa umejifungua Kwa namna moja ama nyingine.

11. Nchi ikifunguliwa kesi haziwi nyingi kwa sababu kila mtu anafuraha, alafu mnaweza kumalizana wenyewe Kwa wenyewe pasipo kupelekana polisi au Mahakamani. Hivyo kama wewe ni MTU wa kupenda kesi kesi msimu huu unaweza kukusumbua.

Vijana ni Wwakati wa kuchangamka, kama haukuwahi kushika hata milioni 10 basi nchi ikifunguliwa ndio Wakati Sahihi Kabisa na uwezekano wa Kupata hizo Pesa.

Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.

Nipumzike SASA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Namba tano na kumi,fresh
 
......... very wise and useful observation, kikubwa kama ulivyoshauri watu kuamka, kuangalia na kuchangamkia fursa......lakini pia kuwa makini kushika kilicho chako coz ujio wa wageni unaambatana ujio wa tamaduni na tabia ngeni i.e violence, crimes, dhuluma za ardhi, wizi wa mitandaoni, utapeli etc.......tuwe wepesi kujifunza, kupokea mabdiliko na kuendena nayo kama ni positive, wanasema 'if you cannot change the changes will change you'........tukumbuke pia kumuomba Mungu katia haya yote coz nchi inafunguka hata wachawi pia wanafunguka, tutapokea wachawi wa kigeni pia..........
 
Back
Top Bottom