Nchi inazidi kufunguliwa, ukizubaa shauri yako


Ha ha ha,
 
Unaacha kulala usingizi unamwaza mwendazake wew kweli ni hewa ndiyo hata Uzi hujauelewa kweli kuna shida kubwa kwenye uwezo wa kufikiri
Mimi siwezi kulala usingizi muda wa kutafuta hela. Ila wewe Gangala badala ya kuhangaikia fursa zako unapoteza muda kumtetea Mwendazake?? Tukuweke kundi gani? Labda ni Msukule!!
 
Kwa namba 4.Ni sehemu gani wanapendelea kuwepo wageni haswa huku Arusha walau tubadilishane mawazo[emoji3526]
 
HUU NDIO UKWELI,YANI DUNIA YA TANZANIA IMESHAONGEZA KASI..!,KAMA TUNAENDELEA NA UGOIGOI WETU WA KUTOTOKA TULIPO NA KWENDA KUCHUNGULIA YANAYOENDELEA BASI TUTABAKI KULALAMA DHIDI YA SERIKALI NA KUUKUMBATIA UFUKARA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…