Mnakula nyama ya Jaluo kama simba anavyokula nyati
Sababu kubwa nikuzagaa tu silaha hata hapa bongo filaha zingekuwa zimezagas watu wangepigana sana risasi si umeona kenya kachoka siraha juzi juzi tuNikawaida kwa nchi zenye uchumi mkubwa watu kuchapana risasi wewe huoni Nigeria, Yemen, Iraq, Libya na USA
Mnatumika na Wachina kunyanyasa wenzenu! Hadi inatia huruma! Hii ata sio Failed State bali ni a Dead State!Huko usiguse, umejitafutia matatizo
Hio naona imekugusa kwenye mfupa umeniquote mara kadhaa!Gang rape hiyo
Wacha kuruka ruka hapa...Kule kwa "Mungu" wenu Marekani, watuumiwa wa ugaidi kule Guantanamo bay wamekaa miaka mingapi?. Ninyi hata mahakamani hamuwapekeki badala yake mnawapiga risasi barabarani. Failed state ninyi.