Nchi kama Tanzania zinazoamni katika ushirikina haziwezi kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo

Nchi kama Tanzania zinazoamni katika ushirikina haziwezi kusonga mbele kiuchumi na kimaendeleo

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Nimesoma hii habari kuwa Tanzania ni nchi ya pili katika kuamini ushirikina nikashtuka sana. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba hata mikoa inayoaminika kwa ushirikina haina maendeleo kivile mikoa hiyo ni pamoja na Kigoma, Sumbawanga nk!!

Yaani mtu anaamnini katika mizimu kwamba inaweza kumfanyizia kazi na siyo juhudi zake za kufanya kazi.mfano unakutana na Bango limeandikwa : mganga kutoka Sumbawanga anatoa dawa ya kupandishwa cheo kazini, kufaulu mitihani, kupata fedha!! Matangazo kama haya huwa yananiidhi sana kiasi Cha kuona tunadhalilika sana kimataifa!!

 
Juzi nilikutana na Dalali mmoja nikashangazwa na harufu anayoitoa ambayo ilinishinda kabisa kuivumilia nikaona haya kumuuliza.

Nikaja kumuuliza mwenzake akaniambia ni "mbinu za kazi" nikamchimba zaidi akaniambia ni mchanganyiko wa 'maji ya maiti na herbs' kwa ajili ya kuleta mvuto kwenye kazi.

Kwakweli nilibaki mdomo wazi,imenibidi nitafute Dalali mwengine na yeye ni ustazi ustazi hivi sijui na yeye ana hirizi ngapi?

Ukweli ni kwamba hili Taifa limemuacha Mungu na kuhamia kwa Ibilisi kwa msaada wa CCM.
 
Uchawi na wabongo ni kama chupi na makalio.
Naweza kukubaliana na mleta mada, lakini hajaweka source ya hiyo habari yake.
 
Nimesoma hii habari kuwa Tanzania ni nchi ya pili katika kuamini ushirikina nikashtuka sana. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba hata mikoa inayoaminika kwa ushirikina haina maendeleo kivile mikoa hiyo ni pamoja na Kigoma, Sumbawanga nk!!

Yaani mtu anaamnini katika mizimu kwamba inaweza kumfanyizia kazi na siyo juhudi zake za kufanya kazi.mfano unakutana na Bango limeandikwa : mganga kutoka Sumbawanga anatoa dawa ya kupandishwa cheo kazini, kufaulu mitihani, kupata fedha!! Matangazo kama haya huwa yananiidhi sana kiasi Cha kuona tunadhalilika sana kimataifa!!

Unakuta watu wanakesha kukaririshwa ulokole usiku kuchwa eti wapate wanachotaka kwa miujiza. Huko mbeya karibu kila mtaa kuna kanisa. Ukichinguza ni ya watu binafsi wanazuga watu kujipatia kipato. Watu wanaomba huko wanakosa wanachotaka kisha wanaendelea na uteja kwa waganga wa kienyeji na wachawi.
Yafaa serikali kuwalinda wananchi kwa msingi yenyewe haina imani ya kiroho ila inatenda kwa msingi wa kisayansi.
 
Source ya hiyo takwimu au tafiti aliyesema huyo afsa wa lhrc ameitoa wapi? Inawwzekana akawa Mkenya huyo!

Anyway Baghosha waache imani za hovyo!
 
Nchi zote Africa wanaamini katika uchawi. Tembea uone!

UCHAWI UPO NA UNAFANYA KAZI, SUBIRI WAKUWEKE KWENYE 18 NDIO UTAJUA HUJUI.
 
Juzi nilikutana na Dalali mmoja nikashangazwa na harufu anayoitoa ambayo ilinishinda kabisa kuivumilia nikaona haya kumuuliza.

Nikaja kumuuliza mwenzake akaniambia ni "mbinu za kazi" nikamchimba zaidi akaniambia ni mchanganyiko wa 'maji ya maiti na herbs' kwa ajili ya kuleta mvuto kwenye kazi.

Kwakweli nilibaki mdomo wazi,imenibidi nitafute Dalali mwengine na yeye ni ustazi ustazi hivi sijui na yeye ana hirizi ngapi?

Ukweli ni kwamba hili Taifa limemuacha Mungu na kuhamia kwa Ibilisi kwa msaada wa CCM.
Imani kama hizo ni moja ya kielelezo cha hali duni. Umaskini
Na hiyo hapo ni mental effect tu, huko kwingine hali ikoje
 
Nimesoma hii habari kuwa Tanzania ni nchi ya pili katika kuamini ushirikina nikashtuka sana. Lakini ni ukweli usiopingika kwamba hata mikoa inayoaminika kwa ushirikina haina maendeleo kivile mikoa hiyo ni pamoja na Kigoma, Sumbawanga nk!!

Yaani mtu anaamnini katika mizimu kwamba inaweza kumfanyizia kazi na siyo juhudi zake za kufanya kazi.mfano unakutana na Bango limeandikwa : mganga kutoka Sumbawanga anatoa dawa ya kupandishwa cheo kazini, kufaulu mitihani, kupata fedha!! Matangazo kama haya huwa yananiidhi sana kiasi Cha kuona tunadhalilika sana kimataifa!!

Dar ndio inayoongoza kwa sasa kwakuwa makabila yote ya Tz yapo Dar. !! Watu wamechanganyikiwa eti utatajirika kwa kutumia Ushirikina !!
 
Sio kweli, huu ni uwongo wa hali ya juu, kuna watu wachawi kama wazungu na wahindi na waarabu?
Sema ni uvivu wako tu na unatafuta sababu ya kumtupia mama Tanzania [emoji1241][emoji3062]
Mtu mzima ovyooooooo walahi [emoji35]
 
Nchi zote Africa wanaamini katika uchawi. Tembea uone!

UCHAWI UPO NA UNAFANYA KAZI, SUBIRI WAKUWEKE KWENYE 18 NDIO UTAJUA HUJUI.
Uchawi ni wa kuharibu tu sio wa kukupa faida ndio maana Wazungu wanasema waliuacha karne nyingi zilizopita !!!
 
Chama cha freemason hakina maendeleo.? Ni uchawi uliokubuhu ulimwengu I.
 
Back
Top Bottom