#COVID19 Nchi nyingi za Ulaya zaamua kufuata approach ya Hayati Magufuli dhidi ya COVID-19

#COVID19 Nchi nyingi za Ulaya zaamua kufuata approach ya Hayati Magufuli dhidi ya COVID-19

soine

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
2,113
Reaction score
2,329
Amani kwenu Wana JF!

Kichwa cha habari chajieleza. Nchi nyingi za ulaya zimeamua kuondoa sheria ama kanuni za kiafya za kujilinda na uviko. Kwa sasa hakuna barako, hakuna kujifungia na kujitenga.

Ni mwendo wa kuishi na corona kama Bongo. Hii inachukuliwa ili kusaidia watu kujitafutia, kuinua uchumi na kuondoa social distress.

Je, sisi tuliopinga hatua za serikali ya Magufuli dhidi ya COVID 19 tulikuwa sahihi?

ANGALIZO: Huko ughaibuni takribani au zaidi nusu ya idadi ya watu wamechanjwa.
 
Ni baada ya tafiti za kisayansi kuona ugonjwa una himilika kwa sasa. Mzee wa Chato ali fluke
Ali fluke kitu gani wakati mwenyewe ni mkemia. Kama mwanamapinduzi alihisi njama za kibeberu kukuza tatizo na kutia hofu dunia ili wauze bidhaa zao huku wakitumia shirika la afya ulimwenguni ambalo wao wanalidhibiti kuweka maelekezo yenye maslahi kwa kampuni zao za madawa.
 
Ali fluke kitu gani wakati mwenyewe ni mkemia. Kama mwanamapinduzi alihisi njama za kibeberu kukuza tatizo na kutia hofu dunia ili wauze bidhaa zao huku wakitumia shirika la afya ulimwenguni ambalo wao wanalidhibiti kuweka maelekezo yenye maslahi kwa kampuni zao za madawa.
Kemia yake ipo kwenye korosho
 
Ali fluke kitu gani wakati mwenyewe ni mkemia. Kama mwanamapinduzi alihisi njama za kibeberu kukuza tatizo na kutia hofu dunia ili wauze bidhaa zao huku wakitumia shirika la afya ulimwenguni ambalo wao wanalidhibiti kuweka maelekezo yenye maslahi kwa kampuni zao za madawa.
Huu ujinga wa kufikiria Kuna njama za mbabeberu dhidi ya Tanzania (Vita vya kiuchumi) bado upo?
Jiwe- kweli alipumbaza watu!
 
Ali fluke kitu gani wakati mwenyewe ni mkemia. Kama mwanamapinduzi alihisi njama za kibeberu kukuza tatizo na kutia hofu dunia ili wauze bidhaa zao huku wakitumia shirika la afya ulimwenguni ambalo wao wanalidhibiti kuweka maelekezo yenye maslahi kwa kampuni zao za madawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkemia aliyeamini kwenye ushirikina!
Mungu fundi aisee, amini na kubali kuwa mungu wako kafa.
 
Ali fluke kitu gani wakati mwenyewe ni mkemia. Kama mwanamapinduzi alihisi njama za kibeberu kukuza tatizo na kutia hofu dunia ili wauze bidhaa zao huku wakitumia shirika la afya ulimwenguni ambalo wao wanalidhibiti kuweka maelekezo yenye maslahi kwa kampuni zao za madawa.
Haha eti mkemia
 
Back
Top Bottom