Tetesi: Nchi sasa itasonga mbele

MKEHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
716
Reaction score
1,143
Nimekuwa nikichukizwa na kitendo cha wasomi fake kumili ofisi huku wakiwa na kiwango kidogo sana elimu huku wakijidai wasomi walio bobea kwa vyeti bandia sasa huu ujio wa uhakiki wa vyeti utatusaidia sana watu tutapata stahiki zetu kwa kukaa madalasani kwa muda mrefu lakini bila kutambuliwa huku matapeli wa elimu wakitucheka

Sent from my Z4 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, embu weka cv yako hapa tuone kiwango chako cha elimu... Mimi nina madigrii kibao ila vyeti vyangu nimeweka kwapani nimeamua nijishughulishe na ujasiria mali...
 
Kama nchi haitasonga mbele bali mwananch mmoja mmoja
 
siamini kama vyeti feki ni vingi kiasi hicho, nafikiri tatizo siyo vyeti feki mbali ni siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…