NCHI TATU TOFAUTI ZINAONGOZWA NA CHAMA KIMOJA CHA SIASA!...Hii inakaaje?
Tanganyika (Tanzania Barani)
Zanzibar (Tanzania Visiwani)
Tanzania Jamhuri (Shirkisho).............kama atumdangi mtu,tunajidanganya wenyewe-NAFAHAMU NAEZA PAYUKA JUU YA HILI LAKINI KAMA MAGENIUS WAMESHAAMUA,NA ITAKUWA HIVYO;LAKINI PAMOJA NA KUWA HIVYO;HII NI NADHARIA YA MAGENIUS WA KIJAMHURI...JAMHURI YA HADIDHI ZA SIKAMONA.Mungu BARIKI MASALIA,NAMI NIKIWEMO.