joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: lawlessness, orderlessness, failed state.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MY TAKE: lawlessness, orderlessness, failed state.
Hapo vipi
Wakenya wengi wana tatizo la msongo wa mawazo kutokana na ugumu wa maisha
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
A dead state indeed[emoji2960][emoji2960][emoji2960]A dead state, nothing works, propaganda inaumbuliwa left right and centre., Soma the headlines.., an outright dead state!
View attachment 1746826
View attachment 1746827
View attachment 1746828
View attachment 1746829
Hii ni sawa na $60M, wakati KQ ndani ya miaka 5 imepata hasara zaidi ya $1.8B, hahahaha, hahahaha, hahahaha.Hapo vipi
Ndege za cash nazo zinatia hasara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1747520
Hiyo ni kuonyesha jinsi gani watanzania walivyokua wakimpenda Magufuli, kukanyagana katika mikusamyiko ni jambo la kawaida duniani kote, sio polisi kuua raia kwa kisingizio cha kupambana na Corona, au serikali kuua raia wengi katika kipindi cha uchaguzi.Mbona huzungumzi kuhusu msiba wenu wa hivi majuzi, ambapo watu 46 walipoteza maisha yao, wakiwa kwenye shughuli za kumuaga mwendazake? Tena kati yao kulikuwepo na watoto wadogo. Sasa mtatupa ushauri upi wa maana kama serikali yenu inafeli hadi kwenye vitu vya kawaida sana kama kupanga mazishi?
Za kwenu ni cash kisha[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni sawa na $60M, wakati KQ ndani ya miaka 5 imepata hasara zaidi ya $1.8B, hahahaha, hahahaha, hahahaha.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Zungumzia $1.8B ambayo KQ imewatia hasara badala yake mnalazimika kukopa IMF ili kuiokoa KQ, failed state.Za kwenu ni cash kisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo vipi jomba, jiwe mwizi sana kumbe..View attachment 1747553
Kuna mama hapo mmoja analia utadhani analilia mkopo kutoka IMF
MY TAKE: lawlessness, orderlessness, failed state.
Mbona huzungumzi kuhusu msiba wenu wa hivi majuzi, ambapo watu 46 walipoteza maisha yao, wakiwa kwenye shughuli za kumuaga mwendazake? Tena kati yao kulikuwepo na watoto wadogo. Sasa mtatupa ushauri upi wa maana kama serikali yenu inafeli hadi kwenye vitu vya kawaida sana kama kupanga mazishi?
Nyinyi mnapata hasara na Ni domestic flights tupu!!!Hii ni sawa na $60M, wakati KQ ndani ya miaka 5 imepata hasara zaidi ya $1.8B, hahahaha, hahahaha, hahahaha.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hahahaha, ninyi mnapata hasara wakati mna ndege 3 tu, mkifikisha ndege 11 hasara itafika $20B,Nyinyi mnapata hasara na Ni domestic flights tupu!!!
Sasa mkiingia international si mtaharisha
Ndege za cash zinapataje hasara bana[emoji23][emoji23]eti marehemu ni genius kumbe jamaa kaacha madudu km yote..Zungumzia $1.8B ambayo KQ imewatia hasara badala yake mnalazimika kukopa IMF ili kuiokoa KQ, failed state.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Ndege kumi na moja safari za ndani zinapataje hasara[emoji23][emoji23]Hahahaha, ninyi mnapata hasara wakati mna ndege 3 tu, mkifikisha ndege 11 hasara itafika $20B,
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Mbona huzungumzi kuhusu msiba wenu wa hivi majuzi, ambapo watu 46 walipoteza maisha yao, wakiwa kwenye shughuli za kumuaga mwendazake? Tena kati yao kulikuwepo na watoto wadogo. Sasa mtatupa ushauri upi wa maana kama serikali yenu inafeli hadi kwenye vitu vya kawaida sana kama kupanga mazishi?
Hapo vipi
Ndege za cash nazo zinatia hasara[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1747520
Ndege za cash zinapataje hasara bana[emoji23][emoji23]eti marehemu ni genius kumbe jamaa kaacha madudu km yote..
Yani zile mbwembwe zote kumbe shirika linajinyea maskini alafu bado mjinga wanajisifia ndege za cash