Humble Servant
Member
- Aug 2, 2007
- 87
- 4
Ndg Wajumbe!
kabla ya kunyooshea wengine vidole nataka tutafakari kama kweli sisi hatupo kwenye kundi mojawapo la mafisadi! maana kila mmoja sasa anaonekana kuchukizwa na rushwa na mabaya yote yanayo nyima haki na kunyanyasa wanyonge ila cha ajabu ni kuwa rushwa inaendelea kutoka kwa makatibu kata hadi IKULU, na kutoka mashirika binafsi hadi kwenye miradi ya kifamilia. yani kwa kifupi kila mtu ni mla rushwa na fisadi (in a broad sense) kwa nafasi yake.
mfano kwenye kanchi ketu leo uki mtuma hata mdogo wako kukununulia kifaa cha gari au ujenzi utasikia akizungumzia(si kwako labda kwa wenzake) CHA JUU! akimaanisha kuwa anachukua gharama ya juu kuliko bei halisi ili na yeye apate ULAJI. au ana bargain na kupata kwa bei ya chini halafu haleti charge na ataandikiwa risiti ya bei zaidi ya pesa aliyotoa kuhalalisha ULAJI!je huu si ufisadi? katabia haka kanaanzia kwenye familia then ndo tunasikia hayo ya RADAR!
hii ni tabia ya wanafunzi/vijana wetu viongozi wa kesho wakikua una tegemea nini......!!!!!!???????
ukirudi kwa baba/mama/kaka (wakubwa) zao ambao wako kwenye maofisi mbalimbali yawe ya uma au ya binafsi! ndo balaa tupu put aside kina KARAMAGI,LOWASA etc, turudi kwa watendaji si wale walioleta richmond na IPTL etc, wengine wadogo zaidi ya hao.
wakichukua pesa za kampuni sijui mnaita IMPREST...?hapa ndo vituko na uppety fisadi ulipo mtu atasema ametumia zote na anadai shirika zitaletwa risiti za uongo sikafanywa kuwa za kweli then pesa tumboni....watumishi waserikali semeni kama nawasingizia......!!!!!!!!je sikweli umelala hotel ya bei pungufu alafu unaleta risiti ya five star??? hii sio serikalini pekeyake hata mashirika binafsi....kama ni uongo semeni!!
kwa wale watafiti wengine maprofesa na madaktari mchezo ni huu huu...je ni uongo??? hamletagi risiti za kununua na mnaandika bei za juu kuliko matumizi halisi???huu nao ni ufisadi...kama ni halali ndo napenda kusikia
kwa wenye makampuni binafsi je unalipa kodi halali?? nimefanya uchunguzi(mdogo) nikagundua kuwa watu wana shusha kwa makusudi mapato yao ili kukwepa kodi je huu si ufisadi????toka umeanza kukwepa kodi unafikiri hujaiba sawa na kina RA,EL,NK,PATEL, etc???
yani kwa kifupi THIS IS THE COUNTRY OF FISADZ; BIG(senior public servants,politicians and big business men),MEDIUM (those junior public servants and entreprenuers)SMALL (young boyz and girls wanaokula cha juu wakitumwa), and PROSPECTIVE FISADZ (those young kids in primary school waiting to be able to be sent to purchase a bit complicated item ili aweke cha juu)
JITAFAKARI WEWE UPO WAPI KABLA YA KUNYOOSHEA WENGINE VIDOLE.........
Nawasilisha.
HS
MUNGU IBARIKI TANZANIA
kabla ya kunyooshea wengine vidole nataka tutafakari kama kweli sisi hatupo kwenye kundi mojawapo la mafisadi! maana kila mmoja sasa anaonekana kuchukizwa na rushwa na mabaya yote yanayo nyima haki na kunyanyasa wanyonge ila cha ajabu ni kuwa rushwa inaendelea kutoka kwa makatibu kata hadi IKULU, na kutoka mashirika binafsi hadi kwenye miradi ya kifamilia. yani kwa kifupi kila mtu ni mla rushwa na fisadi (in a broad sense) kwa nafasi yake.
mfano kwenye kanchi ketu leo uki mtuma hata mdogo wako kukununulia kifaa cha gari au ujenzi utasikia akizungumzia(si kwako labda kwa wenzake) CHA JUU! akimaanisha kuwa anachukua gharama ya juu kuliko bei halisi ili na yeye apate ULAJI. au ana bargain na kupata kwa bei ya chini halafu haleti charge na ataandikiwa risiti ya bei zaidi ya pesa aliyotoa kuhalalisha ULAJI!je huu si ufisadi? katabia haka kanaanzia kwenye familia then ndo tunasikia hayo ya RADAR!
hii ni tabia ya wanafunzi/vijana wetu viongozi wa kesho wakikua una tegemea nini......!!!!!!???????
ukirudi kwa baba/mama/kaka (wakubwa) zao ambao wako kwenye maofisi mbalimbali yawe ya uma au ya binafsi! ndo balaa tupu put aside kina KARAMAGI,LOWASA etc, turudi kwa watendaji si wale walioleta richmond na IPTL etc, wengine wadogo zaidi ya hao.
wakichukua pesa za kampuni sijui mnaita IMPREST...?hapa ndo vituko na uppety fisadi ulipo mtu atasema ametumia zote na anadai shirika zitaletwa risiti za uongo sikafanywa kuwa za kweli then pesa tumboni....watumishi waserikali semeni kama nawasingizia......!!!!!!!!je sikweli umelala hotel ya bei pungufu alafu unaleta risiti ya five star??? hii sio serikalini pekeyake hata mashirika binafsi....kama ni uongo semeni!!
kwa wale watafiti wengine maprofesa na madaktari mchezo ni huu huu...je ni uongo??? hamletagi risiti za kununua na mnaandika bei za juu kuliko matumizi halisi???huu nao ni ufisadi...kama ni halali ndo napenda kusikia
kwa wenye makampuni binafsi je unalipa kodi halali?? nimefanya uchunguzi(mdogo) nikagundua kuwa watu wana shusha kwa makusudi mapato yao ili kukwepa kodi je huu si ufisadi????toka umeanza kukwepa kodi unafikiri hujaiba sawa na kina RA,EL,NK,PATEL, etc???
yani kwa kifupi THIS IS THE COUNTRY OF FISADZ; BIG(senior public servants,politicians and big business men),MEDIUM (those junior public servants and entreprenuers)SMALL (young boyz and girls wanaokula cha juu wakitumwa), and PROSPECTIVE FISADZ (those young kids in primary school waiting to be able to be sent to purchase a bit complicated item ili aweke cha juu)
JITAFAKARI WEWE UPO WAPI KABLA YA KUNYOOSHEA WENGINE VIDOLE.........
Nawasilisha.
HS
MUNGU IBARIKI TANZANIA