Nchi ya Poland yajitwika mzigo wa madeni ili kujiimarisha kijeshi

Nchi ya Poland yajitwika mzigo wa madeni ili kujiimarisha kijeshi

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Kwa kile kinachoonekana kama kupaniki,kujishtukia & kupatwa na uoga nchi maskini ya Ulaya,Poland imeamua kufanya maamuzi ya ajabu ya kutumia mbinu zozote zile ikiwemo kukopa hovyo ili kuliimarisha jeshi lake na kujiweka tayari kwa uvamizi wa super power Russia

Kwa sasa nchi ya Poland imeamua kudouble idadi ya wanajeshi wake mpaka kufikia laki 3 kutoka kiwango cha sasa cha wanajeshi laki na ½

Pia wameamua kuanza kufanya manunuzi ya dhana nzito za kijeshi ili kujiweka tayari kukabiliana na majeshi ya mwendawazimu Putin ambae anaonekana kupata makasiriko sana sababu ya kiherehere cha Poland kuwa lango la siraha zinazokwenda kwa majeshi ya manazi wa Ukraine
 
Kwa kile kinachoonekana kama kupaniki,kujishtukia & kupatwa na uoga nchi maskini ya Ulaya,Poland imeamua kufanya maamuzi ya ajabu ya kutumia mbinu zozote zile ikiwemo kukopa hovyo ili kuliimarisha jeshi lake na kujiweka tayari kwa uvamizi wa super power Russia

Kwa sasa nchi ya Poland imeamua kudouble idadi ya wanajeshi wake mpaka kufikia laki 3 kutoka kiwango cha sasa cha wanajeshi laki na ½

Pia wameamua kuanza kufanya manunuzi ya dhana nzito za kijeshi ili kujiweka tayari kukabiliana na majeshi ya mwendawazimu Putin ambae anaonekana kupata makasiriko sana sababu ya kiherehere cha Poland kuwa lango la siraha zinazokwenda kwa majeshi ya manazi wa Ukraine
Tutazichoma hizo silaha na tutamtandika mpaka anye [emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
 
Kwa kile kinachoonekana kama kupaniki,kujishtukia & kupatwa na uoga nchi maskini ya Ulaya,Poland imeamua kufanya maamuzi ya ajabu ya kutumia mbinu zozote zile ikiwemo kukopa hovyo ili kuliimarisha jeshi lake na kujiweka tayari kwa uvamizi wa super power Russia

Kwa sasa nchi ya Poland imeamua kudouble idadi ya wanajeshi wake mpaka kufikia laki 3 kutoka kiwango cha sasa cha wanajeshi laki na ½

Pia wameamua kuanza kufanya manunuzi ya dhana nzito za kijeshi ili kujiweka tayari kukabiliana na majeshi ya mwendawazimu Putin ambae anaonekana kupata makasiriko sana sababu ya kiherehere cha Poland kuwa lango la siraha zinazokwenda kwa majeshi ya manazi wa Ukraine
Russia huweza wa kumtwaga Poland na kuvuruga nchi yake bila hata Markani kuingilia anao mkubwa, Ukuraini ili jianda takribani kwa miaka 8 chini ya Nato wakapewa special training yakukabili Mrusi ila sasa ona jeshi lao limesha sabaratishwa ndani ya miazi mitatu tu.
 
Hehehe!! Kwa shida aliyopata pale Ukraine, yaani huyu Urusi kwa sasa hana jeuri ya kujaribu ugomvi kwingine, kataifa kadogo kama Ukraine kamemsababishia mateso sana mpaka ameishia kuomba usaidizi Syria.
Unaxungumzia udogo kama eneo au uchumi?? Wajua Ukraine kwa ukubwa was eneo ktk nchi za ulaya inashika namba mbili?? Ukitoa urus
 
Unaxungumzia udogo kama eneo au uchumi?? Wajua Ukraine kwa ukubwa was eneo ktk nchi za ulaya inashika namba mbili?? Ukitoa urus

Itazame hii picha kisha upate aibu

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Ficha ujinga wako ndugu - jielimishe; ushabiki fanya wa Simba na Yanga ndo level yako

Hebu pata aibu kiaina

where-are-ukraine-&-russia.jpg
 
Tutazichoma hizo silaha na tutamtandika mpaka anye [emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
green Rajab Mzee wa ma breaking news na data.
Huyu Poland siku akijichanganya atajutia kuwepo ulaya.
Atatamani angekua kusini mwa jangwa la Sahara ana mashariki ya mbali.
Naona Urusi wanamtamani sana huyu kiherehere.
 
KGB NAONA imechoka Ila hawa watu wenye kidomo domo wangeshapigwa ule unga akiwemo huyu Zelensky na Waziri Mkuu wa Poland ana kidomo domo sana
 
Back
Top Bottom