Nchi ya Rwanda na Rais wake Paul Kagame wamekuwa mfano bora na wa kuigwa katika kupambana na COVID-19

sasa kama ugojwa wenyewe unaweza kufichika manayake hauna uhalisia ni wakawaida sema tuna tiana hofu tuu bora waendelee kuficha hivyohivyo m bona magojwa yapo mengi tu nayanauwa kila siku bila matangazo ni ulimbukeni kutangazatangaza inasaidia nini kutangaza wambie watu wachukue tahadhari inatosha china wenyewe waliacha kutangaza ndio mana wapo salama sasa

Sent from my CPH1903 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna msaada wowote wa chakula kutoka kwa Serikali ya Rwanda kwenda kwa wananchi wake.Ni uongo na propoganda za majidai tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpk leo 02/04 Rwanda maambukizi ni watu 82,Kenya maambukizi ni 110.

Hebu tusaidie ku-justify statement yako ya 'Rwanda maambukizi yanazidi kuongezeka kuliko nchi yoyote ile EA'
Kama Rwanda wako 10m plus na Kenya wako 50m plus then wagonjwa ni 82 kwa 110 mtawalia , waliothirika hapo zaidi ni nani? Bila watu kufikiri vzr wanasiasa watafanya ugonjwa wa korona neema ya kuteka wananchi wao, kilo moja ya unga na moja ya mchele kwa familia za kiafrika ni msaada ama kejeli?! Fikirieni vzr mtajua mchezo wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu muda wa kupiga majungu ulitakiwa uelimishe watu jinsi gani ya kujikinga na corona!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…