joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Mke na Mume Katika Kijiji cha Kiaruhiu Kaunti ya Nyeri wamewashangaza wengi kwa kuamua kupeana watoto wao wawili, kwa yeyote yule, baada ya kile wanadai ni kushindwa kukimu gharama za malezi ya watoto hao kutokana na hali ngumu ya maisha.
=======
MY TAKE: Huu ni mwanzo tu, mengi zaidi yanakuja, kaeni mkao wa kula.
=======
MY TAKE: Huu ni mwanzo tu, mengi zaidi yanakuja, kaeni mkao wa kula.