joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Tunayakumbuka maneno ya Baba wa Taifa, Julius Nyerere kwamba Kenya ni "man eat man society" na Ubepari ni Unyama.Ndo mlengo wa kibepari uwo!
Mashamba ya Ngano ni yetu Sasa mtatuajiri aje na sisi ndio tunawaajiri kulimia na kuvuna Ngano?Waje huku Tanzania[emoji1241] tuwaajiri kwenye mashamba halafu tunawalipa chakula