joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wakenya msiseme hatukuwaambia kuhusu hili, sababu pekee itakayowapeleka India ni ili kulipwa "per diem", karibuni sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya msiseme hatukuwaambia kuhusu hili, sababu pekee itakayowapeleka India ni ili kulipwa "per diem", karibuni sana.
Hahahaha, pole sana.Mmmh
Kwa madaktari wapi?
Acheni kudanganya watu
Wagonjwa wananyanyasika sana kwenye hizi hospitali
Lugha chafu toka kwa wauguzi
Hakuna dawa wala vifaa
Mmmh
Kwa madaktari wapi?
Acheni kudanganya watu
Wagonjwa wananyanyasika sana kwenye hizi hospitali
Lugha chafu toka kwa wauguzi
Hakuna dawa wala vifaa
Msikilize vizuri mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road. Nchi inasongambele kwa kasi sana, usikubali kuendelea kufikiria kizamani, futa hizo Apps. Za kizamani, update your brain.
Another thread turning back on you[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Siku hizi uko na shida kweli.
Msikilize vizuri mkurugenzi wa Hospitali ya Ocean Road. Nchi inasongambele kwa kasi sana, usikubali kuendelea kufikiria kizamani, futa hizo Apps. Za kizamani, update your brain.
Karibu ujipatie matibabu ya kibingwa kwa gharama nafuu. Usikubali tena kwenda India.Naona uzi wako unaangukia pua
The country has only two cancer hospitals, with the main one, ORCI, located in the capital, Dar es Salaam. Approximately 150 outpatients are attended to at ORCI, on a daily basis. At the institute, it is estimated that about 90 percent of the patients arrive when it's too late for a cureMmmh
Kwa madaktari wapi?
Acheni kudanganya watu
Wagonjwa wananyanyasika sana kwenye hizi hospitali
Lugha chafu toka kwa wauguzi
Hakuna dawa wala vifaa
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.OMG! Now is when you are doing kidney transplants. Mbagathi county hospital under nairobi county government has been doing that since last year and KNH (Kenyatta national hospital) for over 4 years. We also have MP shah hospital since february last year. We also do kidney dialysis and radiotherapy across all county referral hospitals. I see you buy anything your government says. But good for you to have it now, it will help your citizens. Kenya we are sorted.
Wakenya msiseme hatukuwaambia kuhusu hili, sababu pekee itakayowapeleka India ni ili kulipwa "per diem", karibuni sana.
Mmmh
Kwa madaktari wapi?
Acheni kudanganya watu
Wagonjwa wananyanyasika sana kwenye hizi hospitali
Lugha chafu toka kwa wauguzi
Hakuna dawa wala vifaa
Karibu ujipatie matibabu ya kibingwa kwa gharama nafuu. Usikubali tena kwenda India.
If you had done those you would not be so excited about kidney transplants that Kenya has done since 1970's. I know you(Tanzanians) like blowing a lot of hot air just like the lady in that video who lied to you all that all eac will come for kidney transplants in Tanzania. You get excited about clinical issues while our county hospitals outperform your biggest hospital. Please read the links below.Hahahaha, hahahaha, hahahaha.
1)We are doing open Heart surgery over 1000 pts. Per year
2)We treat at least 50,000 cancer patients per year, free of charge
3)We are doing Cochlear transportation, Kenya will never perform this complicated surgery in your public Hospitals, at least in twenty years from now.
4)We are removing blood clots and tumours from the brain without opening skull, this service is only available in Tanzania, not other country in Africa can.
5)We are starting Liver and bone marrow transplants soon
Karibuni sana.
theconversation.com