thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Nimesoma nyuzi nyingi za wachangiaji hapa nchini kuhusiana na kuzimwa kwa vyombo vya habari wakati wa kuapishwa Raila Odinga. Wengi wakishindwa kulaani tendo hilo,
Wachangiaji wengi jukwaani walijikita kumsifu bila kuelezea kasoro hiyo.
Inasikitisha unazi wa kisiasa uliopitiliza unatufanya kuwa vipofu.
Sasa mabeberu wa kimagharibi wameliona hilo na wamelaani hatua hiyo ya Uhuru Kenyatta kufungia media hizo .
Unafiki huu ndio unaoligharimu taifa, vya vya siasa, jamii nakadhalika, tujifunze kuwa wakweli Kama jinsi rais Magufuli alivyo, hapepesi maneno inapohitajika kusema ukweli, hajari atamkwaza nani.
Kwakua wakoloni wamelaani kitendo hicho na sisi ndio model wetu,naamini mtajitokeza kulaani pia .
Wachangiaji wengi jukwaani walijikita kumsifu bila kuelezea kasoro hiyo.
Inasikitisha unazi wa kisiasa uliopitiliza unatufanya kuwa vipofu.
Sasa mabeberu wa kimagharibi wameliona hilo na wamelaani hatua hiyo ya Uhuru Kenyatta kufungia media hizo .
Unafiki huu ndio unaoligharimu taifa, vya vya siasa, jamii nakadhalika, tujifunze kuwa wakweli Kama jinsi rais Magufuli alivyo, hapepesi maneno inapohitajika kusema ukweli, hajari atamkwaza nani.
Kwakua wakoloni wamelaani kitendo hicho na sisi ndio model wetu,naamini mtajitokeza kulaani pia .