Nchi za Ulaya nazo ziungane na Marekani kukata misaada. Ajira zikikosekana, ndio watanzania wataelewa kwanini CCM inafaa kuondolewa madarakani

Nchi za Ulaya nazo ziungane na Marekani kukata misaada. Ajira zikikosekana, ndio watanzania wataelewa kwanini CCM inafaa kuondolewa madarakani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Miongoni mwa watu ambao watakuambia mimi sifuatili siasa, ni bsadhi ya hawa wenzetu wanaofanya kazi karika mashirika ya kimataifa na kulipwa hela nyingi kiasi kwamba waona siasa kwao haina maana.

Mimi naomba na nchi za Ulaya nazo zisitishe misaada kama Marekani ili wote tuongee lugha moja juu ya ugomvi wa ajira na maisha kwa ujumla .

Mtu anaelipwa dola za kutosha kwa mwezi ukimwambia CCM hawafai kuendelea kubaki madarakani, atakwambia fanya kazi na usitegemee ikja CHADEMA ndio maisha yatakuwa rahisi na mambo mengine ya aina hiyo.

Wacha wakose hizo ajira pengine wataelewa kuwa tatizo la ajira kwa kiasi kikubwa linachangiwa ma sera mbovu na vipaumbele vibovu vya watawala

Nimalizie kwa kuuliza: hela walizotumia CCM kununua magari na kugharamia maazimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa CCM, ni hela zao za ruzuku. au ni kodi zetu wamechota serikalini?

Nasubiri ripoti ya CAG ya mwalkani.
 
Hela zao za ruzuku ambazo hata chadema wanapewa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Muda utasema.
Muda upi chadema imepewa bilioni kumi inashindwa hata kuwalipa wasanii watumbuize kwenye mikutano yao wanagawana tu kamati kuu na ombi la kujitolea Kwa kila anae dai posho
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Muda upi chadema imepewa bilioni kumi inashindwa hata kuwalipa wasanii watumbuize kwenye mikutano yao wanagawana tu kamati kuu na ombi la kujitolea Kwa kila anae dai posho
Kwa nini iwalipe wasanii badala ya wasanii kujitolea?
 
Kwa nini iwalipe wasanii badala ya wasanii kujitolea?
Wajitolee kwenye vikao ambavyo wakaaji wanalipwa posho?inaleta maana kweli ?kwanini wanaokaa wasijitolee na wao?
 
Wajitolee kwenye vikao ambavyo wakaaji wanalipwa posho?inaleta maana kweli ?kwanini wanaokaa wasijitolee na wao?
Wasanii sio wafanyakazi wa chama, ni wanachama kama wanachama wengine wote tu.
 
Ndio yanaenda kutokea kwani nchi za.ulaya zote.chaguzi wanashinda viongozi wenye mlengo wa kulia ambao hawataki wageni nchini mwao.

Litatuumiza lakini pia mindset za wanasiasa wetu lazima zitabadilika kubana matumizi kupunguza.wabunge machawa na kuwa serious.

Mpaka leo tunalia na barabara mbovu wakati.wenzetu kenya tuu mambo ya.lami barabarani hawalii tena walishatoka huko
 
Back
Top Bottom