Nchi za wenzetu huko matumizi ya pombe ni ruksa maofisini?

Nchi za wenzetu huko matumizi ya pombe ni ruksa maofisini?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Naona kwenye movie zao wazungu unaingia ofisini kwa boss kabla hamjaanza maongezi unashangaa anafungua kabati anatoka na ka whisky au ka wine una pewa toti mbili glass nusu ili kulegeza kidogo ubongo ndipo mnaanza maongezi yaani kiroho safi kabisa.

Hata police ukienda ku report tukio unafika kwa deputy pale kabla hajakusikiliza anafungua ka Spirit chake anakapiga maongezi yanaanza.

Sasa nikataka nijue suala la pombe kwao wanalichukuliaje mbona wanaona kama ni juice tu wakati kwetu huku vilevi viko prohibited kabisa maeneo ya umma ama hata katika ofisi za private Tena anayekunywa anaonekana mshenzi wanasema anadharaulika n.k

Sheria zao zinasemaje?itakuwa waliziangalia upya wakaona sio kila anayekunywa kakilevi basi ataharibu kazi.imagine unaingia ofisini kwa kafulila we ni boss au unaenda TIC unafika unakaribishwa kwenye sofa inakuja glass na ka Hanson choice kadogo au ka konyago safiiii kabisa mnaanza sasa maongezi ila isiwe bia tu iwe kashort kakiaina.
 
Kwa ajili ya kuondoa stress kidogo
 

Attachments

  • istockphoto-871119122-612x612.jpg
    istockphoto-871119122-612x612.jpg
    41.3 KB · Views: 1
  • istockphoto-1172285570-612x612.jpg
    istockphoto-1172285570-612x612.jpg
    25.5 KB · Views: 1
  • istockphoto-935297570-612x612.jpg
    istockphoto-935297570-612x612.jpg
    21.3 KB · Views: 1
Wenzetu wana self discipline katika mambo mengi sana. Sisi hatuna.... ntu atataka apige chupa nzima na kusahau ni muda wa kazi. Ofisi ikitoa chai tu ... watu wanahamia... bongo baduuu sana
 
Naona kwenye movie zao wazungu unaingia ofisini kwa boss kabla hamjaanza maongezi unashangaa anafungua kabati anatoka na ka whisky au ka wine una pewa toti mbili glass nusu ili kulegeza kidogo ubongo ndipo mnaanza maongezi yaani kiroho safi kabisa.hata police ukienda ku report tukio unafika kwa deputy pale kabla hajakusikiliza anafungua ka Spirit chake anakapiga maongezi yanaanza.


Sasa nikataka nijue suala la pombe kwao wanalichukuliaje mbona wanaona kama ni juice tu wakati kwetu huku vilevi viko prohibited kabisa maeneo ya umma ama hata katika ofisi za private Tena anayekunywa anaonekana mshenzi wanasema anadharaulika n.k..
sheria zao zinasemaje?itakuwa waliziangalia upya wakaona sio kila anayekunywa kakilevi basi ataharibu kazi.imagine unaingia ofisini kwa kafulila we ni boss au unaenda TIC unafika unakaribishwa kwenye sofa inakuja glass na ka Hanson choice kadogo au ka konyago safiiii kabisa mnaanza sasa maongezi ila isiwe bia tu iwe ka short kakiaina.
Ukiona kwenye movie bosi anatoka na whine au whiskey basi huyo bosi kwelikweli, kampuni yangu mwenyewe kwanini unipangie kunywa? Hata bangi ningevutia choo changu binafsi cha ofisini maana hamna wa kunifanya kitu
 
Hahahaha unanikumbusha nilikua ktk agency Moja ya matangazo,ofc tulikua na kaunta imejaa pombe, mchana lunch time unashtua kdg ,jioni ukitoka unagonga Tena, asubuhi ukija na hang over unazimua
 
Ukiona kwenye movie bosi anatoka na whine au whiskey basi huyo bosi kwelikweli, kampuni yangu mwenyewe kwanini unipangie kunywa? Hata bangi ningevutia choo changu binafsi cha ofisini maana hamna wa kunifanya kitu
Hahahaha,saw sawa
 
Back
Top Bottom