kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Ukisikia timu inasajili mchezaji kutoka South Africa,Zimbabwe,au Uganda,utagundua kuwa ina watu wasio na uelewa wa kutosha kuhusu mpira na vipaji vya mpira.
Nasema hivi kwa nini?
Hapa Tanzania kuna wachezaji wana vipaji vikubwa sana kuliko wachezaji wengi wenye majina.Tofauti iliyopo ni kuwa hawa wetu wana vipaji ila hawajielewi.Ukichukua wachezaji kutoka nchi hizo hapo juu wana vipaji vya kawaida ila wanajielewa.
Hata hivyo bahati mbaya ni kwamba,suala si kipaji na kujielewa pekee.Bali lazima kuwe na tabia ya kutokubali kushindwa( Fighting sprit)Hiki ndicho kitu kikubwa kwenye mpira kuliko kupaji.Unaweza kuwashinda watu wenye vipaji kama tu una fighting spirit.
Wachezaji wa aina hii,wanapatikana nchi kama Congo.Kuna aina ya wachezaji wanaotakiwa kwenye soka la kisasa.Soka linalohitaji watu wanaojituma na kuweka energy zao zote hadi sekunde ya mwisho.
Si wa south ambao ni wavivu na wana mpira wa show off.
Sehemu bora ya kusajili wachezaji kama hao ni Congo na nchi za magharibi.Siyo huko Afrika kusini
Nasema hivi kwa nini?
Hapa Tanzania kuna wachezaji wana vipaji vikubwa sana kuliko wachezaji wengi wenye majina.Tofauti iliyopo ni kuwa hawa wetu wana vipaji ila hawajielewi.Ukichukua wachezaji kutoka nchi hizo hapo juu wana vipaji vya kawaida ila wanajielewa.
Hata hivyo bahati mbaya ni kwamba,suala si kipaji na kujielewa pekee.Bali lazima kuwe na tabia ya kutokubali kushindwa( Fighting sprit)Hiki ndicho kitu kikubwa kwenye mpira kuliko kupaji.Unaweza kuwashinda watu wenye vipaji kama tu una fighting spirit.
Wachezaji wa aina hii,wanapatikana nchi kama Congo.Kuna aina ya wachezaji wanaotakiwa kwenye soka la kisasa.Soka linalohitaji watu wanaojituma na kuweka energy zao zote hadi sekunde ya mwisho.
Si wa south ambao ni wavivu na wana mpira wa show off.
Sehemu bora ya kusajili wachezaji kama hao ni Congo na nchi za magharibi.Siyo huko Afrika kusini