Netanyahu
Senior Member
- Oct 2, 2008
- 147
- 24
NCHI ZILIZOTAWALIWA NA MFARANSA ZIPINDULIWE
Hivi mkoloni wa kifaransa alikuwa na matatizo gani.Nchi alizotawala mfaransa zinazoongea kifaransa zimejaa mapinduzi na migogoro ya kivita isiyoisha.Anzia Afrika mashariki viinchi kama Rwanda na Burundi fujo tupu ukienda Afrika ya kati nchi zote ziongeazo kifaransa vita tupu,nenda Afrika magharibi ubabe tu wa kivita na mapinduzi ya kivita,Ukienda Afrika kaskazini nchi zinazoongea kifaranza zimejaa historia ya kupinduana tu.Ukienda baharini kwenye visiwa vinavyorumia kifaransa si komoro,shelisheli wala Madagascar n.k ni balaa tupu hadi ma DJ wa miziki akina Ravolomanana wanasumbua.Je wafaransa hawana au hawakuwa na uwezo wa ku-groom viongozi bora wa kutawala nchi walizotawala au ni nini?
Kiasilimia ni kuwa asilimia tisini ya vita na mapinduzi ya nchi Africa iko katika nchi ziongeazo kifaransa,
Wataalamu wa fani za kivita na historia na wengine tusaidiene hivi nini kifanyike kuleta utulivu katika nchi hizi zilizotawaliwa na mfaransa ambazo ndizo zinalitia aibu bara la Africa lionekana la wahuni kwa asilimia kubwa.Niko katika utafiti wa kijeshi kama mpiganaji wa porini nisiye na kombati wala cheo kujua nini kifanyike kwa sisi wapigaji wa misituni ili utulivu urejee Africa kwenye hizo nchi.
Rwanda iliamua kupindua na kuifanya Rwanda iwe English speaking Country kujitoa kwenye matatizo ya kifaransa. Labda iko haja ya vijana na wazee watokao nchi hizo waliokulia katika nchi zizungumzazo kiingereza au Kiswahili waige mfano wa Kagame wakapindue hizo nchi na wageuze ziwe English speaking country au Swahili speaking countries.Maana inaelekea Swahili na English speakers groomed leaders wanaweza kuziwezesha kuwa na utulivu na amani za muda mrefu.
Mimi kama mpiganaji nilikuwa nafikiri dawa na kuzipindua tawala za wazungumza kifaransa waliokulia kifaransa faransa wawekwe wengine toka nchi hizo waliokulia na kulelewa kingereza ngereza au kiswahi Swahili washike watawale .Waheshimiwa wadau mnasemaje maana hatuwezi kuendelea na aibu hii milele lazima ufumbuzi upatikane.
Mfaransa inaelekea ni mtanashati tu tu lakini kashindwa kutoa watawala wazuri kupitia education system na political system yake iko haja apinduliwe afungashwe virago Africa tuwe na Afrika iliyojaa amani.
Hivi mkoloni wa kifaransa alikuwa na matatizo gani.Nchi alizotawala mfaransa zinazoongea kifaransa zimejaa mapinduzi na migogoro ya kivita isiyoisha.Anzia Afrika mashariki viinchi kama Rwanda na Burundi fujo tupu ukienda Afrika ya kati nchi zote ziongeazo kifaransa vita tupu,nenda Afrika magharibi ubabe tu wa kivita na mapinduzi ya kivita,Ukienda Afrika kaskazini nchi zinazoongea kifaranza zimejaa historia ya kupinduana tu.Ukienda baharini kwenye visiwa vinavyorumia kifaransa si komoro,shelisheli wala Madagascar n.k ni balaa tupu hadi ma DJ wa miziki akina Ravolomanana wanasumbua.Je wafaransa hawana au hawakuwa na uwezo wa ku-groom viongozi bora wa kutawala nchi walizotawala au ni nini?
Kiasilimia ni kuwa asilimia tisini ya vita na mapinduzi ya nchi Africa iko katika nchi ziongeazo kifaransa,
Wataalamu wa fani za kivita na historia na wengine tusaidiene hivi nini kifanyike kuleta utulivu katika nchi hizi zilizotawaliwa na mfaransa ambazo ndizo zinalitia aibu bara la Africa lionekana la wahuni kwa asilimia kubwa.Niko katika utafiti wa kijeshi kama mpiganaji wa porini nisiye na kombati wala cheo kujua nini kifanyike kwa sisi wapigaji wa misituni ili utulivu urejee Africa kwenye hizo nchi.
Rwanda iliamua kupindua na kuifanya Rwanda iwe English speaking Country kujitoa kwenye matatizo ya kifaransa. Labda iko haja ya vijana na wazee watokao nchi hizo waliokulia katika nchi zizungumzazo kiingereza au Kiswahili waige mfano wa Kagame wakapindue hizo nchi na wageuze ziwe English speaking country au Swahili speaking countries.Maana inaelekea Swahili na English speakers groomed leaders wanaweza kuziwezesha kuwa na utulivu na amani za muda mrefu.
Mimi kama mpiganaji nilikuwa nafikiri dawa na kuzipindua tawala za wazungumza kifaransa waliokulia kifaransa faransa wawekwe wengine toka nchi hizo waliokulia na kulelewa kingereza ngereza au kiswahi Swahili washike watawale .Waheshimiwa wadau mnasemaje maana hatuwezi kuendelea na aibu hii milele lazima ufumbuzi upatikane.
Mfaransa inaelekea ni mtanashati tu tu lakini kashindwa kutoa watawala wazuri kupitia education system na political system yake iko haja apinduliwe afungashwe virago Africa tuwe na Afrika iliyojaa amani.