Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?

Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?

Doslamari

New Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
4
Reaction score
1,499
Muungano wetu ni wa nchi zilizokuwa Tanganyika na Zanzibar. Leo hii viongozi wanaogopa na kuona aibu kutaja Tanganyika ila wazanzibari wanaona fahari kuitaja Zanzibar, wana bendera yao, wimbo wao wa Taifa, wana bunge lao, Rais wao, serikali yao, mahakama zao.
Kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania Zanzibar siyo nchi, ila Pinda alilia bungeni kisa Rais mswahili Kikwete, yule fala angekutana na Mkapa angejua hajui. Rasimu ya Warioba ipo ila tunataka serikali moja, Zanzibar iwe tu county hawataki waondoke na mpaka baharini uwe kwa faida yetu.
 
Naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
 

Attachments

  • FB_IMG_1702085740919.jpg
    FB_IMG_1702085740919.jpg
    1.6 KB · Views: 9
Watanganyika walijikuta wajanja sana,mwisho wamejikuta wao ndo wapumbavu na walio waona wajinga ndo wajanja.

Zanzibar ni nchi.
 
Mleta mada, tatizo lako ni kwamba unakerwa na majina ama unakerwa na muundo wa muungano?
 
VITENDO VYA UTEKAJI NA WATOTO KUPOTEA VINATUKWAZA MNO WATANZANI.

HILI NI TATIZO KUBWA SANA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA.
 
Back
Top Bottom