Where is Tanzania??Nchi zinazo zalisha gesi asilia, zaidi duniani, 2022;
1. Russia (47,805 billion cubic meters)
2. Iran (33,721 bcm)
3. Qatar (24,072 bcm)
4. United States (15,484 bcm)
5. Saudi Arabia (9,200 bcm)
6. Turkmenistan (7,504 bcm)
7. United Arab Emirates (6,091 bcm)
8. Venezuela (5,740 bcm)
9. Nigeria (5,475 bcm)
10. China (5,440 bcm)
Nigeria kumbe wapo vzr sema ndo wazee wanakula wenyewe huku vijana wanabaki kutapeli mitandaoniNchi zinazo zalisha gesi asilia, zaidi duniani, 2022;
1. Russia (47,805 billion cubic meters)
2. Iran (33,721 bcm)
3. Qatar (24,072 bcm)
4. United States (15,484 bcm)
5. Saudi Arabia (9,200 bcm)
6. Turkmenistan (7,504 bcm)
7. United Arab Emirates (6,091 bcm)
8. Venezuela (5,740 bcm)
9. Nigeria (5,475 bcm)
10. China (5,440 bcm)
Nasikia kwa mujibu wa mikataba tuliyoingia ile gesi sio ya kwetu labda imejumuishwa humo kwenye baadhi ya nchi zilizomo kwenye hiyo orodha🐒Where is Tanzania??
Turkmenistan si ndio kuna the gate of hell? Jamaa walivyoona gesi inavuja wakaja na this bliant idea eti wawashe moto, wakawasha na umekuwa unawaka ever since mpaka leoNchi zinazo zalisha gesi asilia, zaidi duniani, 2022;
1. Russia (47,805 billion cubic meters)
2. Iran (33,721 bcm)
3. Qatar (24,072 bcm)
4. United States (15,484 bcm)
5. Saudi Arabia (9,200 bcm)
6. Turkmenistan (7,504 bcm)
7. United Arab Emirates (6,091 bcm)
8. Venezuela (5,740 bcm)
9. Nigeria (5,475 bcm)
10. China (5,440 bcm)
Na raisi wao muimba mziki, akitoa single eti anawaita mawaziri wasikilize na wacheze 🤣🤣🤣Sikulifahamu hilo ngoja nifuatilie nione
Nigeria ni mojawapo ya nchi za kipuuzi duniani. Wale watu wana uongozi mbovu mno yani ndio ungekuwepo Tanzania tungekuwa tunatukana tu kila siku. Hawana bahati ya kuwa na uongozi wenye nafuu kasoro Umaru Yar'Adua aliyefia madarakani hakudumu sana huyo ndio angezidi kuwa wa maana.Nigeria kumbe wapo vzr sema ndo wazee wanakula wenyewe huku vijana wanabaki kutapeli mitandaoni