mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Huyo ndio aina ya wachezaji wanaotakiwa hana tamaa ya fedha yeye ANATAMANI kuchezea Yanga tu.View attachment 1298989
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mishahara ya Simba analipa nani?Halafu hawa vilaza utawasikia ooh timu ya wananchi inaendeshwa na wananchi, huku usajili anawafanyia gabacholi GSM, mishahara ikikwama bado gabacholi anawaokoa.
Halafu hawa vilaza utawasikia ooh timu ya wananchi inaendeshwa na wananchi, huku usajili anawafanyia gabacholi GSM, mishahara ikikwama bado gabacholi anawaokoa.
Misharaha ya Simba inalipwa na Kampuni au hujui kuwa Simba ni kampuni? Mambo ya kutembeza Bakuli mmebaki Yanga na huyo Gabachori Atachoka ngoja TRA wamkague
Mo ArenaMisharaha ya Simba inalipwa na Kampuni au hujui kuwa Simba ni kampuni? Mambo ya kutembeza Bakuli mmebaki Yanga na huyo Gabachori Atachoka ngoja TRA wamkague
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu hawa vilaza utawasikia ooh timu ya wananchi inaendeshwa na wananchi, huku usajili anawafanyia gabacholi GSM, mishahara ikikwama bado gabacholi anawaokoa.
Hivi Mo ni mjaluo? Mishahara ya mbumbumbu fc inalipwa msimbazi? Kwa mapato gani?Halafu hawa vilaza utawasikia ooh timu ya wananchi inaendeshwa na wananchi, huku usajili anawafanyia gabacholi GSM, mishahara ikikwama bado gabacholi anawaokoa.
Simba ni kampuni kwanini unabisha au hutaki kukubali? Wachezaji wanakimbia mishahara hakuna msipende kuiga mtakufaHivi Mo ni mjaluo? Mishahara ya mbumbumbu fc inalipwa msimbazi? Kwa mapato gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndio aina ya wachezaji wanaotakiwa hana tamaa ya fedha yeye ANATAMANI kuchezea Yanga tu.View attachment 1298989
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi leo walikuwa wanasubiri useme ili wamkague?Misharaha ya Simba inalipwa na Kampuni au hujui kuwa Simba ni kampuni? Mambo ya kutembeza Bakuli mmebaki Yanga na huyo Gabachori Atachoka ngoja TRA wamkague
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni ya mfukoniSimba ni kampuni kwanini unabisha au hutaki kukubali? Wachezaji wanakimbia mishahara hakuna msipende kuiga mtakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba kampuni ya mfukoni mwa Mo, akiamua anaiuwa Mara moja. Wengine nyote including you ni wale wa oya oya hata mambo ya hisa mnayasikia tu, kama mie muongo tusubiri siku moja tutajionea.Simba ni kampuni kwanini unabisha au hutaki kukubali? Wachezaji wanakimbia mishahara hakuna msipende kuiga mtakufa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimuuliza account ya kampuni ina Shs ngapi hawezi kujua.Simba kampuni ya mfukoni mwa Mo, akiamua anaiuwa Mara moja. Wengine nyote including you ni wale wa oya oya hata mambo ya hisa mnayasikia tu, kama mie muongo tusubiri siku moja tutajionea.
GSM kawambia ana sh.ngapi kwenye Akaunti yake au mpaka auze magodoro?Ukimuuliza account ya kampuni ina Shs ngapi hawezi kujua.
Hawajui Mo ni mfadhili tu hadi sasa
Mo ana sh ngapi kwenye account yake? Au mpaka awanyonye wafanyakazi wake au auze copy kila anachouza Mzee Bakkresa?GSM kawambia ana sh.ngapi kwenye Akaunti yake au mpaka auze magodoro?
Sent using Jamii Forums mobile app