Nchimbi na Makala are you ready!?

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Nauliza tu tena kwa upendo, je, mpo tayari kufanya kazi na boss wenu mpya ( Bashi..)?

Chama cha Mapinduzi (Halmashauri kuu) kinatarajiwa kuitisha kikao cha dharula hivi karibuni ili pamoja na mambo mengine ni mahsusi kwa ajili ya uteuzi wa makamo wa Mwenyekiti wa Taifa wa Chama baada ya alyekuwapo bwana Kinana kujiuzulu.
 
Makonda akiwa Makamu CCM watazoa kura zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…