LGE2024 Nchimbi: Tunasumbuliwa na maombi nchi jirani kujifunza Samia amefanyaje kueleta maendeleo nchini, kazi yake nzuri inajiuza

LGE2024 Nchimbi: Tunasumbuliwa na maombi nchi jirani kujifunza Samia amefanyaje kueleta maendeleo nchini, kazi yake nzuri inajiuza

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kumbe kuna watu wanapigana kupata nafasi ya kujua tanzanania tunaishije kama tupo Dubai na watu hamseni? Mna siri nyinyi :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:


Watanzania wanasema katika mikutano kasi ya maendeleo iliyopatikana katika miaka hii 4 hawajawahi kukutana nayo. Waswahili wanasema chema chajiuza na kibaya chajitembeza.

Soma, Pia: Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajiuza kwa kazi nzuri ambazo imezifanya kwa miaka hii minne. Rais Samia na serikali yake ya CCM wamefanya kazi za mfano sana.

Changamoto inayotusumbua sasa kuliko zote ni maombi kutoka watu mbalimbali nchi za jirani kutaka kuja kujifunza Samia amefaje, wanataka kujifunza sisi tunafanye chini ya Rais Samia, wanataka kujifunza kasi hii ya maendeleo imepatikanaje, utulivu na amani vinapatikanaje.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
Wakuu,

Kumbe kuna watu wanapigana kupata nafasi ya kujua tanzanania tunaishije kama tupo Dubai na watu hamseni? Mna siri nyinyi :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKWlaugh:


Watanzania wanasema katika mikutano kasi ya maendeleo iliyopatikana katika miaka hii 4 hawajawahi kukutana nayo. Waswahili wanasema chema chajiuza na kibaya chajitembeza.

Soma, Pia: Padre Dkt. Kitima: Zipo nchi siku hizi zinakuja kujifunza siasa chafu Tanzania

Serikali ya CCM chini ya Rais Samia inajiuza kwa kazi nzuri ambazo imezifanya kwa miaka hii minne. Rais Samia na serikali yake ya CCM wamefanya kazi za mfano sana.

Changamoto inayotusumbua sasa kuliko zote ni maombi kutoka watu mbalimbali nchi za jirani kutaka kuja kujifunza Samia amefaje, wanataka kujifunza sisi tunafanye chini ya Rais Samia, wanataka kujifunza kasi hii ya maendeleo imepatikanaje, utulivu na amani vinapatikanaje.
Yuko sahihi, maana zamani majirani walikuja kwetu kujifunza siasa safi, sasa hivi wanakuja kujifunza siasa chafu!
 
Yani yeye mwenyewe anajiona. Anaongea uongo kabisaa
 
Itakuwa Burundi zaidi ya hapo sioni nchi nyingine ya kuja kujifunza au kuomba ushauri Tanzania.
 
Tp Mazembe walikuja kujifunza kwa yanga namna ya kuendesha team Yao
Na Sasa team ya wanawake ya tp Mazembe ndio bingwa wa afrika wao waje tutawafundisha bure
 
Back
Top Bottom