LGE2024 Nchimbi: Upinzani acheni kugombana mnadharaulika, mtaacha kupigiwa kura mje kusema mmeibiwa

LGE2024 Nchimbi: Upinzani acheni kugombana mnadharaulika, mtaacha kupigiwa kura mje kusema mmeibiwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Watanzania wanavipima vyama kwa haki kila inapofika uchaguzi nani katika hawa anaweza kutuongoza vizuri, na ndio maana marafiki zangu katika vyama vya upinzani napenda kuwashauri mara kwa mara kwamba punguzeni kugombana gombana, watanzania wakiona mnagombana gombana wanawadharau.

Ukifika muda wa uchaguzi wanaacha kuwapigia kura halafu baadaye mtasema kura zenu zimeibiwa lakini ukweli ni kwamba watu wanapiga hesabu wanasema kama wakiwa peke yao wanagombana, tukiwachanganya na sisi wasiyotujua si watatukaba kabisa?

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ndio maana ni lazima watanzania watoe kauli ya wazi kabisa bila haya kwamba sisi kuonesha tunakerwa na magomvi tunachagua CCM.
 
Wakuu,

View attachment 3162346

Watanzania wanavipima vyama kwa haki kila inapofika uchaguzi nani katika hawa anaweza kutuongoza vizuri, na ndio maana marafiki zangu katika vyama vya upinzani napenda kuwashauri mara kwa mara kwamba punguzeni kugombana gombana, watanzania wakiona mnagombana gombana wanawadharau.

Ukifika muda wa uchaguzi wanaacha kuwapigia kura halafu baadaye mtasema kura zenu zimeibiwa lakini ukweli ni kwamba watu wanapiga hesabu wanasema kama wakiwa peke yao wanagombana, tukiwachanganya na sisi wasiyotujua si watatukaba kabisa?

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ndio maana ni lazima watanzania watoe kauli ya wazi kabisa bila haya kwamba sisi kuonesha tunakerwa na magomvi tunachagua CCM.
Nchimbi atazidi kujulikana kuwa anayoongea si aliyonayo moyoni atasababisha asiamini na wala kuheshimika. Alisema msiwaengue wapinzani wakaengua na hakusema kitu. Anaweza kusema tendeni haki kwa washindi kumbe alishawaambia msiwatangaza kama Mwendazake.
 
Back
Top Bottom