Ndalichako anawahujumu Waislamu bila Chenga.


One of Mwl J.K memorable speech where he said "Udini na Ukabila ni ufa mkubwa unaobomoa utaifa Tanzania" Well msimlaum sana huyu jamaa cause some ppo jus wanna see this place burn down to ash, cause logically he makes no sence! Poor analysis have no idea how necta operates, and complains more on those religious subjects ignoring others which are the vital ones needed to qualify and survive in ds place we call home!!
"only two things are infinite The universe and human stupidity, and i،m not sure about the former(the universe)"Albert Einstein
"there are only two races on this planet, the intelligent and the stupid" John Fowles
 
Jaribu kidogo kuuliza jinsi gani usahihishaji wa mitihani unavyofanyika kuliko kuleta porojo zisizokuwa na mashiko. Kumbuka pia watahiniwa utumia namba badala ya majina.

Acha ubwege wewe mitihani tunafanya kwa namba mbona majibu yanakuja kwa majina? unadhani majina yanabadilishwa shuleni?
 

havng masters doesnt mean everythng iz perfect......xaxa na mimi namjua ile masters research alinunua frm somewhere....xiyo kila irukayo ni aeroplane kuna vibeku pia bro... 2kubali 2 some1 made a mistake thn wat iz tha way forward to prevent tht mis take istokee tena au vp....? Au nan awajbike..,bas
 
waziri wa elimu shukuru jumanne kawambwa,katibu mkuu wizara ya elimu prof.hamisdihenga!! waislamu 2tulie 2weke mikakati2
 
Narrow minded p'ple ndo huwa wanadiscuss upuuzi km huu... Yaan wanahaki ya kufeli coz hata shule hawasomi, wanajadili upuuzi km huu, nimesoma nao, nawajua vzuri.
 
Poor reasoning Capacity leads to Poor analysis,Unless otherwise mchambuzi amejawa chuki na udini!
 
Hii pumba,na ndo uwezo wako wa kufikiri unavokuambia??

waisilamu wengi kazi ni kupiga soga kwenye vijiwe vya Kahawa ila ukiwapeleka darasani wanaonekana VILAZA tu..!! Xo ndugu zangu badilikeni najua Mkikaza mnaweza
 
Itikadi ndio yao inayowazulumu live, angalia nchi za Kiarabu! Walibarikiwa kuona mwanga mapema kuliko mataifa mengine lakini mpaka hivi leo wapo chini, wana migogoro ya wao kwa wo, chuki kuelekea wengine kama wageni. Uvivu, kupiga domo, kujitoa mhanga nk. Kwasababu hizi dini tulizonazo zimeletwa na wageni ambao ni wazungu na Waarabu bado mna nafasi ya kuamua kwenda kulia au kushoto.
 
... Nawapa homework wote mnaomlalamikia Dr. Ndalichako: Prof. Bakari M. Mwinyiwiwa ni nani?
 

Suala la mitihani ya Islamic Knowledge kuhesabiwa vibaya nililileta hapa kwa mara ya kwanza but nikapigwa madongo ya hali ya juu ikiwemo topic kuondolowa.

Haya uliyoyaongezea yana Ushahidi wa wazi lakini bado watu wanabisha. Wengine wanakuja na utetezi kua Waziri ni muislam.

Mimi kwa mawazo yangu, Mtendaji mkuu na Waziri active hapa ni Philip Mulugo, Kawambwa kawekwa tu kama sanam, ni Kama ilivyo TAMISEMI kwamba Mwanri ndio Mtendaji ingawa ni Naibu.
 
Ww hujielew wala huelew unachosema,thbtisha kaul yako co unakurpuka..
 
Usijidanganye kwa kusema waislam hawataki kusoma, wacha zana za kipumbavu. Siku zote mtu akidai haki yake huonekana mbaya nyinyi makafiri kwa kuwa bado muna uvivu wa kufikiri munaendeshwa na sera za baba wenu wa Taifa. Yule alikuwa ni mnafiki tu aliyetumwa na makafiri
 
Hizi topic nadhani zimeshapitwa na wakati,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…