Ndalichako wa necta sio katibu mkuu tena amerudshwa udsm

ALOYCE MPANDANA

Senior Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
172
Reaction score
58
Rais Kikwete amemteua Dkt. Charles Msonde kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA), kuchukua nafasi ya nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Joyce Ndalichako, ambaye amerudi kuendelea na kazi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam baada ya kumaliza likizo yake ya kujinoa. Je, unahisi uteuzi huo utaleta mabadiliko katika sekta ya Elimu? Funguka hapa hivi sasa.
 
Si kweli ndalichako bado yupp necta na rais bado hajafanya uteuZi kama huo.. Huo ni uzushi ulioanzia jamii forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…